Vita Kali ndani ya CHADEMA

Vita Kali ndani ya CHADEMA

Kuna Mambo tunajidanganya sana, hata hapa Tanzania, mapinduzi ya kilimo yataletwa na matajiri wa ndani wachue ardhi kubwa waanzishe mashamba makubwa,,, walizishe kwa ajili ya akiba ya ndani na wa-export.

Hata tukipeena kila moja ekari sawa,,, kwa ukulima wa kifamilia na ekari zake 2 au tano, hatuendi popote...

Issue ni kwamba watu wawe matajiri, mambo yawe kwenye mfumo wa wazi wa uchumi, kodi zilipwe,,, kazi ziwe kwa ajili ya watanzania zaidi then we are done...

Ilikuwa ni ujinga kupiga makelele at Waziri Mkuu mstahafu ana ekari mia mbili, kwani ni mapori mangapi hayana watu sasa hivi...

Nafikiri unaona yale yanayotokea Zimbabwe, viongozi wanachukua ardhi kwa kuhodhi na sio kulima, uliza Moi analima au amejinyakulia ardhi bora kama kitega uchumi? Zimbabwe viongozi wengi walio karibu na Mugabe wamegawana mashamba ambayo yalikuwa yanalisha nchi nzima leo hii yamedorora. Wanaojinyakulia ardhi waoneshe uwezo wa kuzalisha sio vinginevyo.
 
sisiemu wangependa watu washindwe kutofautisha hoja za msingi na hoja za kubuni.
Nimesikia baada ya mkataba wa Buzwaki kuleak wameandika mingine fake na kuisambaza, kazi ya kuwa keepbusy wanayo.

Pili wanapenda hoja zote ziongelewe katika mtindo wa udaku ili ionekane ni mambo madogo ya hapa na pale.

sisiemu wamedanganya watu kwa miaka 46, wajue wazi kwamba muda wa kudanganya watu umekwisha.
 
Tujadili hoja, lakini mengine, utaelewa ukivua hilo pazia machoni/mbeleni mwako!!!


Kwa taarifa yako, they are matured in politics than we do!!! kama huamini sio tatizo langu kaka yangu lakini mwenye macho haambiwi ona,,, suala la katiba walivyofanya, issue ya economy kwenda mbele 7%

Mambo ya mawasiliano,,, unajua wanafanya connection na Uarabuni kwa kutumia fibre,,, baada ya nchi kama Tanzania, SA etc... kuwa na mwendo wa kinyonga...

Wenzetu wamekomaa,,, wanauwezo wa kukataa wanasiasa wa chama tawala na wa upinzani kwa hoja pia,,, mapungufu yapo ya ukabila lakini sio makubwa sana.


Pazia gani bro? wewe ndio mwenye pazia na kigugumizi cha ubongo.......ati "tatizo dogo la ukabila," nani mwenye akili timamu anaweza kusema tatizo la ukabila ni dogo nchini kenya??. siasa za kenya petroli yake ni ukabila na si kingine!! Hayo maendeleo unayosema hasa ktk technology, data nilizonazo bongo inafanya vizuri tu kusini mwa janga la sahara.
Kubali kitu kimoja kwamba ulichemsha kusema kwamba unazikubali siasa za kenya!!!. kwani si ni wewe hapa JF na mob lako wakina nanilii ambao mnatetea Ufisadi wa CCM kula kukicha......kwani huu ufisadi wa CCM wameuiga wapi kama si Kenya!? Give me a break, of all the places...KENYA?? you must be kidding, smart a**!!
 
KadaMpinzani,

sio wana ccm wote tunakubaliana na huu upuuzi mnaojaribu kuuweka hapa. KUna vitu vingine viko chini ya uwezo wa kawaida wa elimu na kufikiri. unaweza kuendelea kutetea hili kama mtu binafsi lakini kujiita mwanaccm huku ukitetea upuuzi wa hii email ni aibu na kashfa kwa chama

sitokulaumu simply because hujui ninachosimamia, nini msimamo wangu from the beginning, nini kilichonifanya nijiunge JF, mtazamo wangu juu ya vyama vya siasa tz, watu (chadema) kupaka matope viongozi wa ccm kusikokuwa na sababu za msingi, kama kweli ungejua huo msimamo wangu nadhani leo hii usingeandika ulichoandika kuhusu mie, nadhani umekuja kuona maneno yangu meeeengi baada ya hii email ndio maana unasema hivyo !

lakini nakusihi kaa kwa makini, chunguza mambo mwenyewe yanavyoenda hapa Forum, then utajua ninachoongelea !

am not here to tell you to believe in what am saying, but observe yourself na utaona ninachoongelea !

hata mie nilikuwa kama wewe mwanzo lakini utaona tu mwishowe treni lilivyopindishwa hapa na kuelekea upande mmoja !
 
sitokulaumu simply because hujui ninachosimamia, nini msimamo wangu from the beginning, nini kilichonifanya nijiunge JF, mtazamo wangu juu ya vyama vya siasa tz, watu (chadema) kupaka matope viongozi wa ccm kusikokuwa na sababu za msingi, kama kweli ungejua huo msimamo wangu nadhani leo hii usingeandika ulichoandika kuhusu mie, nadhani umekuja kuona maneno yangu meeeengi baada ya hii email ndio maana unasema hivyo !

lakini nakusihi kaa kwa makini, chunguza mambo mwenyewe yanavyoenda hapa Forum, then utajua ninachoongelea !

am not here to tell you to believe in what am saying, but observe yourself na utaona ninachoongelea !

hata mie nilikuwa kama wewe mwanzo lakini utaona tu mwishowe treni lilivyopindishwa hapa na kuelekea upande mmoja !

Hivyo ni kweli unasema namimi itabidi nisubirie nijionee kwa macho yangu ingawa hata mimi naona kuwa wanaoshabikia chadema ni wengi mno hapa kuliko wanaccm.

Hata hivyo hiyo siyo sababu ya kushabikia vitu vya kipuuzi kama hii email ambayo sio tu inaongelea mambo ya binafsi bali pia mambo ambayo kuna uwezekano mkubwa sio yakweli. Ukifanya hii iwe ndio msimamo wa chama basi unafanya wanaccm wote wenye elimu na akili za kufikiri waonekane wapuuzi tu kama mwandishi wa hii email. Wasomaji wa forum ni wasomi kwa hiyo kama una nia ya kupata wafuasi zaidi wa ccm ambao ni wasomi ni juu yetu wanaccm kutumia hoja na sera zaidi ya mambo ya kitoto kama yaliyosemwa kwenye hii email.

Asante kwa ushauri.
 
Shukrani mkuu Masaka,
Nadhani pia kuhusu email, wengi hawakunielewa ! nimesema pengine hayo yaliyoandikwa ni ya kweli, na nikakazania kusema kwamba najua ipo siku wapinzani watashika madaraka na wadhifa mkubwa sana serikalini, hivyo sio vibaya kuwachunguza fisadi wa ccm na wa upinzani vile vile ( I CLEARLY REMEMBER ME WRITING THIS ) lakini watu wakakurupa utadhani Kada kasema chadema wabaya, ccm wazuri, sijui hivi na hivi na vile, ndipo maneno yalipoanza na watu wasiojua nini nilichosema wakaingia mkombo na kuanza kunipaka matope hapa pamoja na ccm !

Lakini ukiangalia nilichosema kama mtu hatokubaliana nalo, basi sidhani kama atakuwa na nia njema, ( pale niliposema kwamba ni vizuri viongozi wa ccm pamoja na wa upinzani wote wachunguzwe ili wakishika nyadhifa kubwa serikalini kusiwe na doubt yoyote )
hayo ndiyo niliyosema, kuhusu hii email nilisema pia nashangaa watu wanapata wapi mentality yao ya kusema kwamba hii sijui ni kampeni ya RA, EL, JK ( kwa kifupi ccm ) yaani mtu binafsi hawezi kuandika anachofikiria bila ya kuwapaka matope hao viongozi waliotajwa ? hayo ndio niliyosema, lakini kwa kuwa hapa kuna mahodari wa kutwist nyuz nadhani msala ndio ukanipata na wengi kama kawa wakaunga band wagon !

LETS DISCUSS CLEAN POLITICS BY BASING BOTH SIDES, RULING PARTY AND THAT OF THE OPPOSITION. na sio kuangalia upande mmoja tu !!

Asanteni!
 
Hivyo ni kweli unasema namimi itabidi nisubirie nijionee kwa macho yangu ingawa hata mimi naona kuwa wanaoshabikia chadema ni wengi mno hapa kuliko wanaccm.

Hapana. Mimi sidhani kama wengi wanashabikia Chadema. Ila Chadema kinaonekana kupita katika mstari wa matarajio ya wengi. Kwa hilo, wanatoa matumaini....sio kama CCM ambao wanatuburuza.
 
Kweli tuna kazi kubwa kufikia malengo ktk mchakato huu wa kima pambano ya kifikra. Mapambano yaliyojikita ktk kutazama upande mmoja tu kwa ukosoaji.

Dr Slaa ni mwanachama hapa JF kama alivyo Zitto, kwa mtaji huo basi Mh. Zitto nadhani itakuwa ni jambo la busara kama utawasiliana na bosi wako Slaa ili aje atimize wajibu wake kama mwana JF kuweka wazi haya masuala.

Kinachoonekana hapa ni kutolewa majibu myepesi kutoka kwenye maswali magumu kama kawaida yetu jambo lipohusu maadili ya viongozi wa upinzani hususan Chadema.

Labda niseme tu kuwa suala hapa sio source ya hiyo document, suala ni contents zilizomo ndani ya Doc, badala ya kujadili contents tuna mnashambulia alie leta hilo doc na wengine wana enda mbali na conclude kuwa ni njama za CCM. Mbona lilipoletwa Doc la BOT na la Maliasili yote (hayakuwa na source bayana) tulishabikia na kuanza kujadili na ndio imepelekea leo tuna "list of shame" Nani kati yetu ali hoji chanzo cha BOT Doc? Lakini ukirudi na kuangali kwa makini source zake ni hizi hizi za ki-anonymous na tupo willing kujadili kwa kina. Vipi leo hili la Slaa tunapatwa na kigugumizi?

Kwa mwendo huu soon JF tutakuwa/tushakuwa wasanii kuliko hao tuwao wapiga vita

More than a decade ago, there was someone going by the same name as yours, Masatu. His first name was George(not sure). He was a good football player for Simba and Taifa. That Masatu was useful.
 
LETS DISCUSS CLEAN POLITICS BY BASING BOTH SIDES, RULING PARTY AND THAT OF THE OPPOSITION. na sio kuangalia upande mmoja tu !!

Asanteni!

Ndio Kada huwezi kuwa na clean politics kama nawewe unacheza mchezo mchafu kama wa hii email. Kama unataka viongozi wote wa ccm na upinzani wachunguzwe ni vizuri kuja na hoja na sera sio kuzusha mambo kuwa fulani ni mgonjwa, au shoga, nk. hii haitusaidii wanaccm kama vile isivyowasaidia wapinzani.

Kushabikia hii email ni makosa na inabidi isichukuliwe kama wanaccm wote tunaungana na huu upuuzi. Kama ni clean itabidi ianze na wewe mwenyewe kabla ya kutaka wenzako wawe clean.

Asante
 
Hapana. Mimi sidhani kama wengi wanashabikia Chadema. Ila Chadema kinaonekana kupita katika mstari wa matarajio ya wengi. Kwa hilo, wanatoa matumaini....sio kama CCM ambao wanatuburuza.

Mkuu, wewe kaa tu angalia wanaocheza ! sasa mambo ya kuendorse wapi tena ! kweli mzee maneno yako yamekamilisha nilichokuwa nafikiri !
 
Ndio Kada huwezi kuwa na clean politics kama nawewe unacheza mchezo mchafu kama wa hii email. Kama unataka viongozi wote wa ccm na upinzani wachunguzwe ni vizuri kuja na hoja na sera sio kuzusha mambo kuwa fulani ni mgonjwa, au shoga, nk. hii haitusaidii wanaccm kama vile isivyowasaidia wapinzani.

Kushabikia hii email ni makosa na inabidi isichukuliwe kama wanaccm wote tunaungana na huu upuuzi. Kama ni clean itabidi ianze na wewe mwenyewe kabla ya kutaka wenzako wawe clean.

Asante

naona hujanielewa kabisa, mie nitaishia hapo kwa leo !
 
Hapana. Mimi sidhani kama wengi wanashabikia Chadema. Ila Chadema kinaonekana kupita katika mstari wa matarajio ya wengi. Kwa hilo, wanatoa matumaini....sio kama CCM ambao wanatuburuza.

Asante Invicible kwa kuweka hili wazi....
Unajua kumekuwa na misconception kuwa kila anayeipinga serikali ni mwanachama wa chama fulani cha upinzani au ana nia fulani ya kisiasa.....

makada wa ccm wamechemsha kwenye hii topic na wanataka kuanza kupondea JF kuwa inapendelea CHADEMA as if kuna mtu amewazuia kuweka hoja zao hapa.....

haya yote nia yake ni kuvuruga muziki wa Richmonduli uliokuwa unaendelea hapa ili watu wengi wasiusikilize bila kukumbuka kuwa huu muziki umetunzwa na soon utawekwa tena all over kabla ya kufanyiwa re-mix na kuweka bongoradio for unlimited hours za kuusikia......
 
kwa nini nikufikirie wewe admn ?? haya wee niite majina yote unayoweza mheshimiwa admn. mie simfikirii mtu yoyote hapa forum FYI !
 
Hapana. Mimi sidhani kama wengi wanashabikia Chadema. Ila Chadema kinaonekana kupita katika mstari wa matarajio ya wengi. Kwa hilo, wanatoa matumaini....sio kama CCM ambao wanatuburuza.

Sidhani hili ni tatizo, tatizo ni mtu kujionyesha kwamba ni neutral wakati aidha ni shabiki wa CCM au CHADEMA.

Hakuna asiyejua kwamba kama mtu haipendi, anakereka na serikali iliyoko madarakani aidha kwa matendo, na personality au kwa sababu yoyote ile lazima angependa iondolewe na kupenda iondolewe ni lazima aangalie kwenye kapu la vyama vya Upinzani ni chama gani ambacho kina muelekeo angalau mzuri,,, na kwa ukweli si kingine ni CHADEMA; pamoja na CUF kuwa kilipata kura nyingi uchaguzi uliopita lakini hakina Dira

Lakini tunasahau kwamba, kila darasa la shule ya msingi, sekondari, chuo lenye wanafunzi zaidi ya mmoja, kukiwa na mtihani matokeo ya mtihani lazima kutakuwa na mwanafunzi wa kwanza na wa mwisho...

Sasa hao wanafunzi wa kwanza na wa mwisho haimaanishi wana akili sana, hapana, wengine kweli ndio na wengine na wengine ni kwamba well unalinganisha na wanafunzi wengine wadhaifu... hili ndilo ninaloliona...

Ninachotaka kusema ni kwamba CHADEMA ina muelekeo mzuri kwa sababu ya kukubali fresh ideas, na kuondoa ukiritimba wa mawazo... ya miaka 47, this is very positive... lakini kimekomaa... bado.... but kama kusipotokea walevi kutoka CHADEMA yenyewe au wakupandikizwa kutoka upande mwingine,,, kuna matumaini mazuri tu!

Lakini mimi kama mtanzania huru, nitapenda kusema tena na tena,,, kwamba mtoa mabomu kwangu ni jambo jema, lakini sio sababu ya mimi kukuita kiongozi mzuri!!!

Ndio maana sitawahi kuamini Lyatonga ni kiongozi mzuri,,, hata siku moja,,, lakini nitaendelea kumheshimu Sana Mbowe, Zitto na Slaa kwa uzalendo wao in that order
 
Lakini mimi kama mtanzania huru, nitapenda kusema tena na tena,,, kwamba mtoa mabomu kwangu ni jambo jema, lakini sio sababu ya mimi kukuita kiongozi mzuri!!!

Labda nikuulize swali dogo kilitime na una kila sababu ya kujibu au kutokujibu.

1. Bila zitto kuweka bungeni issuee ya Buzwagi (kutoa mabomu kama unavyoita wewe), je ni watanzania wangapi wangeyajua yaliyosainiwa na Karamagi huko London?

Ndio maana sitawahi kuamini Lyatonga ni kiongozi mzuri,,, hata siku moja,,, lakini nitaendelea kumheshimu Sana Mbowe, Zitto na Slaa kwa uzalendo wao in that order

Kuna sehemu yoyote hapa JF umelazimishwa kumuamini Lyatonga au anybody in this case?
 
kilitime, hiyo unayosema inaitwa hekima. Na anayetarajia viongozi wazuri wasio na makosa, atasubiri hadi kiama! Ndio maana napendekeza tukwepe sana mambo ya binafsi ambayo hayaingiliani na kazi au majukumu ya mtu na si kinyume cha sheria au hakileti mgongano wa aina fulani wa kimaslahi. Na hasa masuala ya ngono! Kuanzia enzi za Adam hadi leo, viongozi wengi wamekuwa wakijaribiwa kwa hilo na hilo halina chama, dini, itikadi n.k

Hata wengi wetu tunaopiga kelele hapa inawezekana tunapata kachumbari nyingine pembeni au tunakodoa kodoa macho pembeni (tukiwa breki ya JF). Lakini hilo peke yake halitufanyi tuache kuikosoa serikali, vyama n.k

Na hilo halihusiani na kufumbia macho maadili, bali kuyaweka maadili katika maudhui yake hasa. Kwamba, kiongozi ambaye amekula uroda wa Katibu Muhtasi wake kwa hiari yao wenyewe, lakini akakemea na kuzuia watu kula fedha za umma na kuwatimua.. nitamchagua nikilinganisha na kiongozi anayeacha watu wale mali ya umma na kuwafumbia macho huku akijifanya yeye mswalihina!! the less of two evil sir!!
 
Labda nikuulize swali dogo kilitime na una kila sababu ya kujibu au kutokujibu.

1. Bila zitto kuweka bungeni issuee ya Buzwagi (kutoa mabomu kama unavyoita wewe), je ni watanzania wangapi wangeyajua yaliyosainiwa na Karamagi huko London?
Jibu
Kutoka kwenye quote hii hapa niliyoweka hapo juu

,,, hata siku moja,,, lakini nitaendelea kumheshimu Sana Mbowe, Zitto na Slaa kwa uzalendo wao in that order


Kuna sehemu yoyote hapa JF umelazimishwa kumuamini Lyatonga au anybody in this case?
Mama,,, Mama nani kakuambia nimelazimishwa,,, unaweza kujaribu kidogo kuheshimu mawazo, imani ya mtu, hata kama hupendi iwe hivyo!!!
 
Mama,,, Mama nani kakuambia nimelazimishwa,,, unaweza kujaribu kidogo kuheshimu mawazo, imani ya mtu, hata kama hupendi iwe hivyo!!!

Haya basi usijekuanza kulia buree wakati maziwa yamekwisha!

Ninaheshimu mawazo yako na nakuhakikishia kuwa sitakulazimisha umpigie kura Lyatonga Mrema (mkombozi wa wanawake in the 90's)
 
Back
Top Bottom