Kweli tuna kazi kubwa kufikia malengo ktk mchakato huu wa kima pambano ya kifikra. Mapambano yaliyojikita ktk kutazama upande mmoja tu kwa ukosoaji.
Dr Slaa ni mwanachama hapa JF kama alivyo Zitto, kwa mtaji huo basi Mh. Zitto nadhani itakuwa ni jambo la busara kama utawasiliana na bosi wako Slaa ili aje atimize wajibu wake kama mwana JF kuweka wazi haya masuala.
Kinachoonekana hapa ni kutolewa majibu myepesi kutoka kwenye maswali magumu kama kawaida yetu jambo lipohusu maadili ya viongozi wa upinzani hususan Chadema.
Labda niseme tu kuwa suala hapa sio source ya hiyo document, suala ni contents zilizomo ndani ya Doc, badala ya kujadili contents tuna mnashambulia alie leta hilo doc na wengine wana enda mbali na conclude kuwa ni njama za CCM. Mbona lilipoletwa Doc la BOT na la Maliasili yote (hayakuwa na source bayana) tulishabikia na kuanza kujadili na ndio imepelekea leo tuna "list of shame" Nani kati yetu ali hoji chanzo cha BOT Doc? Lakini ukirudi na kuangali kwa makini source zake ni hizi hizi za ki-anonymous na tupo willing kujadili kwa kina. Vipi leo hili la Slaa tunapatwa na kigugumizi?
Kwa mwendo huu soon JF tutakuwa/tushakuwa wasanii kuliko hao tuwao wapiga vita
Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwiiiii hahahahahhahhahahahhaaaaaaaaaaaaaaa!
WAKUU LEO NIMECHEKA SANA MAANA SIJAWAHI KULETA POSTY HAPA IKAPATA WACHANGIAJI WENGI NA KWA KASI YA KUTISHA KAMA HII. NAKUMBUKA KUNA MCHANGIAJI ALIWAHI KULALAMIKA HAPA KUWA KILA AKILETA MADA WATU HAWACHANGII! DUH SINA MBAVU HAKIKA INGEKUWA MADA KAMA ZINAZOLETWA HAPA ZA MAMBO YA UCHUMI NA NYINGINE AMBAZO WANACHANGIA WATU WACHACHE KAMA KICHUJUU, ES NA MKANDARA BASI TUNGEKUWA TUNATISHA SANA. POWA WAKUU ENDELEENI KUKATA ISSUE.
Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwi Kwi kwi kwi kwiiiii hahahahahhahhahahahhaaaaaaaaaaaaaaa!
WAKUU LEO NIMECHEKA SANA MAANA SIJAWAHI KULETA POSTY HAPA IKAPATA WACHANGIAJI WENGI
Kweli tuna kazi kubwa kufikia malengo ktk mchakato huu wa kima pambano ya kifikra. Mapambano yaliyojikita ktk kutazama upande mmoja tu kwa ukosoaji.
Dr Slaa ni mwanachama hapa JF kama alivyo Zitto, kwa mtaji huo basi Mh. Zitto nadhani itakuwa ni jambo la busara kama utawasiliana na bosi wako Slaa ili aje atimize wajibu wake kama mwana JF kuweka wazi haya masuala.
Kinachoonekana hapa ni kutolewa majibu myepesi kutoka kwenye maswali magumu kama kawaida yetu jambo lipohusu maadili ya viongozi wa upinzani hususan Chadema.
Kwa mwendo huu soon JF tutakuwa/tushakuwa wasanii kuliko hao tuwao wapiga vita
... binafsi sikuwa na chama chochote lakini kwa kuwa hapa forum kulikuwa na bias on one side, ... so they made me ccm since that day ....
Nyani mbona yapo mengi kama ni kuongelea mambo ya wanawake? sema sisi hatutaki kuingia personal tu,
Tunaelewa kuhusu mke wa DC Mongela na ilivyokuwa.
Tunaelewa kuhusu Vicky Kamata pia (mtu mwingine sio Buzwagi).
Ila sio issue hizo kwetu. Issue ni Taifa jamani. Chonde chonde kuleni mbakizie vijukuu jamani, mali hata ukilimbikiza UTAKUFA na kuziacha zikiliwa na husiowapenda!
Nyani mbona yapo mengi kama ni kuongelea mambo ya wanawake? sema sisi hatutaki kuingia personal tu,
Tunaelewa kuhusu mke wa DC Mongela na ilivyokuwa.
Tunaelewa kuhusu Vicky Kamata pia (mtu mwingine sio Buzwagi).
Ila sio issue hizo kwetu. Issue ni Taifa jamani. Chonde chonde kuleni mbakizie vijukuu jamani, mali hata ukilimbikiza UTAKUFA na kuziacha zikiliwa na husiowapenda!
...Kama Zitto upo mtandaoni tunaomba utupe ishu kidogo juu ya tuhuma hizi, kuwa huna uhusiano mzri na Slaa.
http://www.jamboforums.com/showthread.php?t=6150&page=6[/QUOTE]we Kicha maji, hii kitu mbona iko kwenye thred ya Eid,