KadaMpinzani
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 3,715
- 94
watu wengine kwa kutafuta umaarufu hawajambo !
Hii Thread ingekuwa ya page 3 hadi 4 maximum, kama washabiki wa CHADEMA, wangeacha viongozi wao wajibu tuhuma zao wenyewe, sasa mang'amung'amu na maroroso ndio yamejaa humu... nadhani mujilaumu wenyewe.
Ahsante Zitto na Mnyika mnachotakiwa kuelewa ni kwamba kila kitu kilikuwa TUHUMA, ikishajibiwa mambo yakuwa swari,
Waambieni washabiki wetu kwamba munkari wao watafanya tuamini hiki chama MAKINI kiko kama kile cha Ngangari na Ngunguri,,, nadhani mngetusaidia kama mngekuwa wakati mnahariri majibu yetu kutuambia kwa ufupi tu kwamba tunaandika/engineer majibu subiri kidogo tunaleta, hivi kungesaidia watu wasilete za kuletwa...
Katika nchi hii bwana ukiwa sio shabiki wa upande wowote unaona mengi sana, kuliko ukiwa ndani! kwenye Ufisadi utaona, kwenye kutafuta umaarufu utaona... etc. etc.
Mnyika,Zitto, CHADEMA mnaweki as a team eeeh, tumesikia ole wenu siku mje hapa mtuambia ooh, yule, yeye, aaaa, ahaaa!!!
Admin; acha upupu wao ubaki hapa ili wajifunze siku nyingine kutofanya utani na mambo ya uongozi na viongozi ukitaka jamii isijue maisha yako, nenda kalime mtama!!! au kuwa mfugaji wa bata mzinga kama mimi!
ushaanza mambo yako ya utani kwenye issuez nzito. lini utakua wewe! watu wengine bwana!
Yoooh,
Soma tena ulicho andika hapo juu, unaongea nini wewe? mbona unajichanganya sana......?lazima utakuwa umedata flani hivi!!. Yaani ktk siasa zote za dunia hii wewe umeziona za kenya!!!??? ama kweli kazi ipo.
Hii Thread ingekuwa ya page 3 hadi 4 maximum, kama washabiki wa CHADEMA, wangeacha viongozi wao wajibu tuhuma zao wenyewe, sasa mang'amung'amu na maroroso ndio yamejaa humu... nadhani mujilaumu wenyewe.
Ahsante Zitto na Mnyika mnachotakiwa kuelewa ni kwamba kila kitu kilikuwa TUHUMA, ikishajibiwa mambo yakuwa swari,
Waambieni washabiki wetu kwamba munkari wao watafanya tuamini hiki chama MAKINI kiko kama kile cha Ngangari na Ngunguri,,, nadhani mngetusaidia kama mngekuwa wakati mnahariri majibu yetu kutuambia kwa ufupi tu kwamba tunaandika/engineer majibu subiri kidogo tunaleta, hivi kungesaidia watu wasilete za kuletwa...
Katika nchi hii bwana ukiwa sio shabiki wa upande wowote unaona mengi sana, kuliko ukiwa ndani! kwenye Ufisadi utaona, kwenye kutafuta umaarufu utaona... etc. etc.
Mnyika,Zitto, CHADEMA mnaweki as a team eeeh, tumesikia ole wenu siku mje hapa mtuambia ooh, yule, yeye, aaaa, ahaaa!!!
Admin; acha upupu wao ubaki hapa ili wajifunze siku nyingine kutofanya utani na mambo ya uongozi na viongozi ukitaka jamii isijue maisha yako, nenda kalime mtama!!! au kuwa mfugaji wa bata mzinga kama mimi!
Masaka,
Karibu sana. Humu kuna watu kibao, wengine hawana tofauti na hao wanaosign mikataba.
Huyu Demu anachanganyaga mambo, sometimes anaongea point sometimes anaongeza posts tu na mwenzie Kada mpinzani.
Ila hili ni jahazi kubwa wote TU ABIRIA, hatuwezi kumtosa abiria mwenzetu baharini, ana mazuri yake humu lakini ndio hivyo!
Hivyo ni kweli unasema namimi itabidi nisubirie nijionee kwa macho yangu ingawa hata mimi naona kuwa wanaoshabikia chadema ni wengi mno hapa kuliko wanaccm.
Hata hivyo hiyo siyo sababu ya kushabikia vitu vya kipuuzi kama hii email ambayo sio tu inaongelea mambo ya binafsi bali pia mambo ambayo kuna uwezekano mkubwa sio yakweli. Ukifanya hii iwe ndio msimamo wa chama basi unafanya wanaccm wote wenye elimu na akili za kufikiri waonekane wapuuzi tu kama mwandishi wa hii email. Wasomaji wa forum ni wasomi kwa hiyo kama una nia ya kupata wafuasi zaidi wa ccm ambao ni wasomi ni juu yetu wanaccm kutumia hoja na sera zaidi ya mambo ya kitoto kama yaliyosemwa kwenye hii email.
Asante kwa ushauri.
Masaka,
UMEKOSEA SANA, wana CC humu ni sawa na wana chadema labda. Mimi ni CCM damu, wanaonijua in real life wanajua. Sema wengi humu HAWANA VYAMA, NA WENGI WANAISHI UGHAIBUNI. Wapo critic kwasababu wanaona best practices huko nje, yaani wapo exposed kuliko watanzania wengi waliopo humu Tanzania.
Nadhani ulifikia conclusion mapema kabla hujachunguza.
Asante
Wewe Kilitime,
Wenzako wametaka haya yaishe lakini wewe unayaendeleza. Nyie
ndio mnaharibu chama. Wewe nawe (kama mimi pia na wengine hapa)umechangia sana kuendeleza hii topic. Acha yaishe na usitake kuifanya personal. Ukweli tu hii kama ni kampeni ya wana ccm dhidi ya chadema basi waliofanya hiki wameharibu sana na sasa wamezidi kuwapatia wapinzani credits maana wao wataonekana kuwa wanaongea mambo ya nchi na sisi tunaongea mambo binafsi.
Hizi mbinu za kitoto na za kipuuzi inabidi zikemewe. Acheni upuuzi kwani mtaua chama! Hii topic ikikaa hapa kisha hao unaotaka waone ----- watapungukiwa nanini zaidi tu ya kuzidi kuonyesha udhaifu wa ccm?
Machadema wajinga sana, napoteza muda wako kuibiwa mke na mjingamaccm wajinga sana unapoteza muda wako kuandika pumba
Naona unamtetea marehemu chademaBaada ya Dr.Slaa kutaja majina ya Mafisadi 11 mwaka 2007 na kupata umaarufu mkubwa mtu anayejiita Mtoto wa Mkulima tarehe 15 October 2007 alipost post hii hapa JF
Sasa wanajitahidi kufanya hivyo kwa Zitto katika hili swala la Ruzuku kukaguliwa. CHADEMA Umoja ni Nguvu