Wewe BUBU ATAKA KUSEMA. Nenda Karatu na Hanang kaulize hizi habari ndipo utajua hakuna njama yoyote ya CCM. Ni uchafu wake Slaa. Vipi mbona imekuuma?
Nonsense....
Wewe BUBU ATAKA KUSEMA. Nenda Karatu na Hanang kaulize hizi habari ndipo utajua hakuna njama yoyote ya CCM. Ni uchafu wake Slaa. Vipi mbona imekuuma?
Baada ya Dr.Slaa kutaja majina ya Mafisadi 11 mwaka 2007 na kupata umaarufu mkubwa mtu anayejiita Mtoto wa Mkulima tarehe 15 October 2007 alipost post hii hapa JF
Sasa wanajitahidi kufanya hivyo kwa Zitto katika hili swala la Ruzuku kukaguliwa. CHADEMA Umoja ni Nguvu
Slaa ni malaya
Hahahhahaha! :A S-confused1: Hii imerudi makusudi!!!
Waache tutakula nao sahani moja.Tutaingia Chimbo kurudi na thread zao
Huyu Mtoto wa Mkulima si ndie amekuja kufahamika kwamba ni kiongozi ndani ya CHADEMA?
Kumbe alianza kitambo sana kukihujumu chama na viongozi wake!
Bubu Ataka Kusema, unamuuliza Mtoto wa Mkulima akupe source wakati yeye ndiye source yenyewe si atajiuma ulimi?
Kaanza kwa kusema kuwa yeye kaileta jinsi alivyoipata bila ku-add cho chote lakini kichwa cha mada yake ni "Vita kali Ndani Ya Chadema" . Na hicho kichwa cha mada hakuweka kama swali au kuuliza kama yasemwayo ni kweli, bali kaweka kwa njia ya kuvutia au kuamsha hisia za wasomaji.
Mjumbe hauwawi, ila mjumbe akiupamba ujumbe na kubadili maana ya ujumbe anaweza akasababisha mtu akauwawa (na huyo mtu anaweza akawa yeye mjumbe)!
Hiki chama kimejaa Matapeli,Wazinzi,Wavuta bangi na Watu ambao elimu Yao ndogo ie.Mbowe,Lema,Mnyika,Sugu nk
hahahaha na uchafu wake bado wananchi walikuwa wanampa kura nyingi tuu, elfu saba mna kazi/.wewe bubu ataka kusema. Nenda karatu na hanang kaulize hizi habari ndipo utajua hakuna njama yoyote ya ccm. Ni uchafu wake slaa. Vipi mbona imekuuma?