Said S Yande
JF-Expert Member
- Mar 16, 2013
- 874
- 637
Itabidi niende zangu Kongo.Kuanzia hiyo Kalya mpaka Kapalamsenga ni ngumu kuipata,miaka ya 2000 mwanzoni nilisikia labda maeneo ya Mwese ila napo ni kubahatisha
Shida kuu ni miiko yake inakinzana sana na hii modern Life hivyo kufanya hata waganga waogope kuitoa