mtongwe
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,571
- 4,248
Kinkuti ni dawa iliyokuwa zamani sana ila kuanzia miaka ya sabini 70's ilianza kupotea na kubaki kidono pekee,hivyo uliweza kupewa kidono bila kinkuti na kwenye miaka ya hivi karibuni hata hicho kidono kwa kweli hakipo labda uvuke maji lakna si kwa huu mwambao wa hapa kwetuHuwezi kupewa kidono kama huna kinkuti.hizi dawa huenda sambamba lakini ni za wakongomani(wabembe)