mkumbwa junior
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 808
- 1,542
Umenielewa sasaSasa msingeambiwa kilichotokea usiku uliopita mngeendelea kuamini ni uchawi na mngesambaza habari kwamba mmeshuhudua uchawi na story ingeendelea hivyo hivyo. Hivi ndivyo story zoooote za ushirikina zilivyo ni story za hearsay zisizomake any sense au zenye majibu thabiti kabisa ila watu hawataki kufikirisha akili kupata hayo majibu wanaamini tu kama nyumbu.