TikTok2020
JF-Expert Member
- Oct 20, 2022
- 1,817
- 3,141
Wanajamvi salaams
Naomba kuuliza hivi viongozi wa serikali wao hawapaswi kufata sheria mara watumiapo barabara?
Inasikitisha sana unapoona gari la kiongozi linavunja sheria ya usalama barabarani halafu na askari hana jeuri ya kumfanya chochote.
Yani wao muda wote wanaharaka hata muda wa kurudi nyumbani jioni hawataki kukaa kwenye msongamano nadhani wanatamani watumie ving'ora.
Hii hauko sawa hata kidogo hivyo vyeo ni makoti tu ya kuazima muda ya kuazima ukiisha wewe ni raia tu kama raia mwingine.
Punguzeni kuvimba mtapasuka.
Naomba kuuliza hivi viongozi wa serikali wao hawapaswi kufata sheria mara watumiapo barabara?
Inasikitisha sana unapoona gari la kiongozi linavunja sheria ya usalama barabarani halafu na askari hana jeuri ya kumfanya chochote.
Yani wao muda wote wanaharaka hata muda wa kurudi nyumbani jioni hawataki kukaa kwenye msongamano nadhani wanatamani watumie ving'ora.
Hii hauko sawa hata kidogo hivyo vyeo ni makoti tu ya kuazima muda ya kuazima ukiisha wewe ni raia tu kama raia mwingine.
Punguzeni kuvimba mtapasuka.