Madereva wa Magari haya hawatumii sheria zetu za usalama barabarani. Wanazo zao binafsi

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Jul 29, 2013
10,468
23,744
Magari ya Serikali e.g SU, STK, DFP, V8, Land Cruiser Mkonga n.k haya magari ni wazi yana sheria za tofauti na zetu sisi wengine ambao tunaendesha Benz, Bmw, Toyoya,Subaru na the likes.

Kwenye taa wao huvuka hata kama ni red. Na traffic wapo pembeni wala hawahangaiki nao hawa madereva. Atalazimisha kupita pita mpaka afike mbele avuke ingawa kuna red light inasoma pale juu.

Kwenye zebra pia. Nako huwa hawajali kabisa kusimama. Yaani kifupi hawa jamaa ni kuwa huwa muda wote ni kama wanaharaka sana. Na unashangaa wana haraka gani? Mbona nchi imeshachelewa sana?

Kwenye speed limit ya 50 wao hupita na 120 na kuendelea. Ni madereva ambao wamejaa kiburi na ujivuni wa hali ya juu. Na cha kushangaza traffic hawajihusishi nao. Ukiuliza traffic anasema akamate wa nini wakati anajua hatopewa chochote toka kwao.

But ni hatari sana kwa mustakabali wa sheria zetu na usalama wa barabarani. Je hawa wana sheria zao tofauti? Wapo juu ya sheria?
 
Magari ya Serikali e.g SU, STK, DFP, V8, Land Cruiser Mkonga n.k haya magari ni wazi yana sheria za tofauti na zetu sisi wengine ambao tunaendesha Benz, Bmw, Toyoya,Subaru na the likes.

Kwenye taa wao huvuka hata kama ni red. Na traffic wapo pembeni wala hawahangaiki nao hawa madereva. Atalazimisha kupita pita mpaka afike mbele avuke ingawa kuna red light inasoma pale juu.

Kwenye zebra pia. Nako huwa hawajali kabisa kusimama. Yaani kifupi hawa jamaa ni kuwa huwa muda wote ni kama wanaharaka sana. Na unashangaa wana haraka gani? Mbona nchi imeshachelewa sana?

Kwenye speed limit ya 50 wao hupita na 120 na kuendelea. Ni madereva ambao wamejaa kiburi na ujivuni wa hali ya juu. Na cha kushangaza traffic hawajihusishi nao. Ukiuliza traffic anasema akamate wa nini wakati anajua hatopewa chochote toka kwao.

But ni hatari sana kwa mustakabali wa sheria zetu na usalama wa barabarani. Je hawa wana sheria zao tofauti? Wapo juu ya sheria?
Hawa wana kiburi sana na pia ni wanajua hata nyie mnawaogooa mkiwaona Barabarani,Haya tuliinjectiwa na nyerere, nebda hapo Kenya kama utakuta Gari za Serikali au hata za Jeshi la Kenya zikivunja sheria za Barabarani. Huu upumhavu uko Tanzania pekee.
 
Magari ya Serikali e.g SU, STK, DFP, V8, Land Cruiser Mkonga n.k haya magari ni wazi yana sheria za tofauti na zetu sisi wengine ambao tunaendesha Benz, Bmw, Toyoya,Subaru na the likes.

Kwenye taa wao huvuka hata kama ni red. Na traffic wapo pembeni wala hawahangaiki nao hawa madereva. Atalazimisha kupita pita mpaka afike mbele avuke ingawa kuna red light inasoma pale juu.

Kwenye zebra pia. Nako huwa hawajali kabisa kusimama. Yaani kifupi hawa jamaa ni kuwa huwa muda wote ni kama wanaharaka sana. Na unashangaa wana haraka gani? Mbona nchi imeshachelewa sana?

Kwenye speed limit ya 50 wao hupita na 120 na kuendelea. Ni madereva ambao wamejaa kiburi na ujivuni wa hali ya juu. Na cha kushangaza traffic hawajihusishi nao. Ukiuliza traffic anasema akamate wa nini wakati anajua hatopewa chochote toka kwao.

But ni hatari sana kwa mustakabali wa sheria zetu na usalama wa barabarani. Je hawa wana sheria zao tofauti? Wapo juu ya sheria?
Toka Magu amefariki wameunda territory yao
 
Kuna wengine wanatembeaga na nissan patrol!!

Hawana king'ora, taa za dharura wala uniform! Wamenikuta kwenye taa amekuja anagonga gari kwa fujo "nenda, nenda, nenda!" Kwamba mimi nilikuwa mbele kabisa na red light ipo on! Nikiondoka wao wanapata nafasi ya kupita.

Nikawa namuangalia tu! Taa ilipowaka nimeondoka wakapenyapenya speed ili wapite mbele waweze kunisimamisha, sijui wafanyaje!! Wao wameenda mbele mie nikageuza nyuma speed sana nikapotea machoni mwao kama mzuka!! Sipendi fujo...!!
 
Kuna wengine wanatembeaga na nissan patrol!!

Hawana king'ora, taa za dharura wala uniform! Wamenikuta kwenye taa amekuja anagonga gari kwa fujo "nenda, nenda, nenda!" Kwamba mimi nilikuwa mbele kabisa na red light ipo on! Nikiondoka wao wanapata nafasi ya kupita.

Nikawa namuangalia tu! Taa ilipowaka nimeondoka wakapenyapenya speed ili wapite mbele waweze kunisimamisha, sijui wafanyaje!! Wao wameenda mbele mie nikageuza nyuma speed sana nikapotea machoni mwao kama mzuka!! Sipendi fujo...!!
ACHA uongo boss. Wangekuamulia wakufukyzie usingetoboa
 
List yako haijakamilika, hem toa list kamili: STK, STL, STM, SU, SM, DP, PT, JW hawa jamaa wanaweza kukuwahisha kuzimu.
 
Magari ya Serikali e.g SU, STK, DFP, V8, Land Cruiser Mkonga n.k haya magari ni wazi yana sheria za tofauti na zetu sisi wengine ambao tunaendesha Benz, Bmw, Toyoya,Subaru na the likes.

Kwenye taa wao huvuka hata kama ni red. Na traffic wapo pembeni wala hawahangaiki nao hawa madereva. Atalazimisha kupita pita mpaka afike mbele avuke ingawa kuna red light inasoma pale juu.

Kwenye zebra pia. Nako huwa hawajali kabisa kusimama. Yaani kifupi hawa jamaa ni kuwa huwa muda wote ni kama wanaharaka sana. Na unashangaa wana haraka gani? Mbona nchi imeshachelewa sana?

Kwenye speed limit ya 50 wao hupita na 120 na kuendelea. Ni madereva ambao wamejaa kiburi na ujivuni wa hali ya juu. Na cha kushangaza traffic hawajihusishi nao. Ukiuliza traffic anasema akamate wa nini wakati anajua hatopewa chochote toka kwao.

But ni hatari sana kwa mustakabali wa sheria zetu na usalama wa barabarani. Je hawa wana sheria zao tofauti? Wapo juu ya sheria?
Vipi na rate ya Ajali wanahusika sana?
Kwasababu lengo la sheria hizo ni kuzuia ajali.
 
Hawa wana kiburi sana na pia ni wanajua hata nyie mnawaogooa mkiwaona Barabarani,Haya tuliinjectiwa na nyerere, nebda hapo Kenya kama utakuta Gari za Serikali au hata za Jeshi la Kenya zikivunja sheria za Barabarani. Huu upumhavu uko Tanzania pekee.
Diplomatic Cars ndio wanavunja sheria Kenya.
Simply kwasababu ya Immunity waliyo nayo
 
Wanafanya kwenye Taifa la Wapumbavu, ukiwemo wewe, Kenya mbona zile GOK zao hazivubji sheria barabarani? Nchi hii ni ya kipumhavu sana na ina pia raia wapumbavu sana
Nini kifanyike mkuu? maana wenye Nchi washazoea haya mambo
 
Back
Top Bottom