Makamura
JF-Expert Member
- May 19, 2022
- 356
- 550
Katika watu wanaopaswa kutii sheria za barabarani ni Watu hawa, Majaji, Jeshi, Viongozi wa serikali, ila katika nchi yetu hii ipo tofauti sana, yan wanaongoza kuvunja sheria mnoo, bila hata sababu za msingi, na hata zingekwepo hawakupaswa kuvunja sheria.
Unakuta wanapita Njia ya magari ya kwenda wanakuwashia mataa, au dereva tu wa gari zenye Namba SU, SM, STL, STK wanakatiza bila kujali usalama wa dereva mwingine barabarani, hawaheshimu taa za barabarani, hawaheshimu sheria wala watumiaji wengine wa barabara.
Wanatembea na ving'ora kila sehemu, muda wowote, yan imefika pahala hatujui kazi ya King'ora ni nini tena.
Na ukiwabania wanakujia juu utadhan wao ndo wanahaki kuliko wanafamu wote
Watu hawa ni hatari kwa usalama wa watumiaji barabara, Tunaomba mamlaka ituzingatie, na kuwa na sheria ambayo itawashika hawa watu ipasavyo, matabaka haya hayakwwpo kipindi cha chuma.
Unakuta wanapita Njia ya magari ya kwenda wanakuwashia mataa, au dereva tu wa gari zenye Namba SU, SM, STL, STK wanakatiza bila kujali usalama wa dereva mwingine barabarani, hawaheshimu taa za barabarani, hawaheshimu sheria wala watumiaji wengine wa barabara.
Wanatembea na ving'ora kila sehemu, muda wowote, yan imefika pahala hatujui kazi ya King'ora ni nini tena.
Na ukiwabania wanakujia juu utadhan wao ndo wanahaki kuliko wanafamu wote
Watu hawa ni hatari kwa usalama wa watumiaji barabara, Tunaomba mamlaka ituzingatie, na kuwa na sheria ambayo itawashika hawa watu ipasavyo, matabaka haya hayakwwpo kipindi cha chuma.