Majaji, Viongozi wa serikali, Magari ya Jeshi yanaongoza kwa kuvunja Sheria za Usalama barabarani

Makamura

JF-Expert Member
May 19, 2022
356
550
Katika watu wanaopaswa kutii sheria za barabarani ni Watu hawa, Majaji, Jeshi, Viongozi wa serikali, ila katika nchi yetu hii ipo tofauti sana, yan wanaongoza kuvunja sheria mnoo, bila hata sababu za msingi, na hata zingekwepo hawakupaswa kuvunja sheria.

Unakuta wanapita Njia ya magari ya kwenda wanakuwashia mataa, au dereva tu wa gari zenye Namba SU, SM, STL, STK wanakatiza bila kujali usalama wa dereva mwingine barabarani, hawaheshimu taa za barabarani, hawaheshimu sheria wala watumiaji wengine wa barabara.

Wanatembea na ving'ora kila sehemu, muda wowote, yan imefika pahala hatujui kazi ya King'ora ni nini tena.

Na ukiwabania wanakujia juu utadhan wao ndo wanahaki kuliko wanafamu wote

Watu hawa ni hatari kwa usalama wa watumiaji barabara, Tunaomba mamlaka ituzingatie, na kuwa na sheria ambayo itawashika hawa watu ipasavyo, matabaka haya hayakwwpo kipindi cha chuma.

IMG_20240130_070045_565 (1).jpg
 
Katika watu wanaopaswa kutii sheria za barabarani ni Watu hawa, Majaji, Jeshi, Viongozi wa serikali, ila katika nchi yetu hii ipo tofauti sana, yan wanaongoza kuvunja sheria mnoo, bila hata sababu za msingi, na hata zingekwepo hawakupaswa kuvunja sheria.
uzingatie, na kuwa na sheria ambayo itawashika hawa watu ipasavyo, matabaka haya hayakwwpo kipindi cha chuma.
Wameiga tabia za watawala wa Uganda
 
Kuna magari ya polisi yanayobeba kikosi cha FFU wanaoenda malindoni.

Hawa jamaa nao wanaongoza kwa kuvunja sheria barabarani.

Sijaelewa dharula zao zipo wapi kiasi cha kuvunja sheria za barabarani.
 
Katika watu wanaopaswa kutii sheria za barabarani ni Watu hawa, Majaji, Jeshi, Viongozi wa serikali, ila katika nchi yetu hii ipo tofauti sana, yan wanaongoza kuvunja sheria mnoo, bila hata sababu za msingi, na hata zingekwepo hawakupaswa kuvunja sheria.

Unakuta wanapita Njia ya magari ya kwenda wanakuwashia mataa, au dereva tu wa gari zenye Namba SU, SM, STL, STK wanakatiza bila kujali usalama wa dereva mwingine barabarani, hawaheshimu taa za barabarani, hawaheshimu sheria wala watumiaji wengine wa barabara.

Wanatembea na ving'ora kila sehemu, muda wowote, yan imefika pahala hatujui kazi ya King'ora ni nini tena.

Na ukiwabania wanakujia juu utadhan wao ndo wanahaki kuliko wanafamu wote

Watu hawa ni hatari kwa usalama wa watumiaji barabara, Tunaomba mamlaka ituzingatie, na kuwa na sheria ambayo itawashika hawa watu ipasavyo, matabaka haya hayakwwpo kipindi cha chuma.
Masikio yao yana pamba.....huwaambii kitu
 
Wabanie wakutolee upepo ukae masaa unasubiria upepo uchelewe kufika.
We pisha kaa kushoto acha wapite unakereka Nini kwa kitu Cha dakika tu.
Unakuta jitu hata ambulance halipishwi Kisha ujinga TU sijui mama yake angekuwa ndie mgonjwa kabebwa akafanyiwa hivyo nae angejisikiaje.
Kigari chenyewe Cha dada
 
sasa Kwanini katika sheria za barabara wasiweke kwamba askari akienda lindoni asikae foleni
Askari wapo kazini mda wote akae foleni huyo muhalifu ana msubiria tu.
Na waliokesha LINDO usiku kukulinda wewe watatolewa saa ngapi.
Askari akiwa kazini hana Sheria ya Barbara anatumia zote ili kuwahi.
 
Askari wapo kazini mda wote akae foleni huyo muhalifu ana msubiria tu.
Na waliokesha LINDO usiku kukulinda wewe watatolewa saa ngapi.
Askari akiwa kazini hana Sheria ya Barbara anatumia zote ili kuwahi.
Nafikiri hujaelewa.

sasa Kwanini wasiandike sheria hiyo?
Unajua sheria za barabarani lakini?
 
Katika watu wanaopaswa kutii sheria za barabarani ni Watu hawa, Majaji, Jeshi, Viongozi wa serikali, ila katika nchi yetu hii ipo tofauti sana, yan wanaongoza kuvunja sheria mnoo, bila hata sababu za msingi, na hata zingekwepo hawakupaswa kuvunja sheria.

Unakuta wanapita Njia ya magari ya kwenda wanakuwashia mataa, au dereva tu wa gari zenye Namba SU, SM, STL, STK wanakatiza bila kujali usalama wa dereva mwingine barabarani, hawaheshimu taa za barabarani, hawaheshimu sheria wala watumiaji wengine wa barabara.

Wanatembea na ving'ora kila sehemu, muda wowote, yan imefika pahala hatujui kazi ya King'ora ni nini tena.

Na ukiwabania wanakujia juu utadhan wao ndo wanahaki kuliko wanafamu wote

Watu hawa ni hatari kwa usalama wa watumiaji barabara, Tunaomba mamlaka ituzingatie, na kuwa na sheria ambayo itawashika hawa watu ipasavyo, matabaka haya hayakwwpo kipindi cha chuma.
Kama raia mmelala fofofo na hamjui haki zenu unataka sisi waheshimiwa tuchelewe kwenye foleni kama nyie?
 
Magari ya jeshi huwa hayaendeshwi huku uraiani hasa nyakati hizi hatuna vita.
Mwanjeshi akiendesha gari lake binafsi na akavunja sheria za barabarani akamatwe apewe adhabu stahiki kama raia wengine.
 
Back
Top Bottom