OSOKONI
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 10,965
- 5,336
Mmeanza kugeukanaBasi wabunge wa CCM watakuwa ni mazuzu kweli.
Mmeanza kugeukanaBasi wabunge wa CCM watakuwa ni mazuzu kweli.
You nailed it, i thought the same"Mwenyekiti wa CCM kamuomba Rais" kufanyia vikao vya CCM ikulu. Nahisi hivyo.
Ila leo Nyani Ngabu umeongea Point sana kuhusu vikao vya chama hichi cha wahuni kufanyika Ikulu ni kweli vinakera sana, ila leo na kupongeza kwa wimbo huu
🤣🤣🤣Mnachukia huyu mama kwa sabab sio kabila lenu...
Acha afanye anavyotaka yeye ndio mwenye nchi kwa sasa, kama mlivomtetea Jamaa enu Meko Mwendazake
Good one…Waking'ang'ania kuendelea kukutania Ikulu basi akina TADEA na wengine wote waruhusiwe kutumia Ikulu kwa mikutano yao ya kisiasa. Iwe Ikulu vurugu.
Sio unawasubiri kwa hamu, we sema unajihamiOh, halafu nawasubiri wale mtaosema kwa nini hatukuhoji kipindi Magufuli anaendesha vikao vya CCM Ikulu….nawasubiri kwa hamu kubwa sana!
Washafika....🤣🤣🤣
Chuki gani sasa hapo?
No, actually nawasubiri kwa hamu kwa sababu nataka kuonyesha jinsi walivyo wajinga.Sio unawasubiri kwa hamu, we sema unajihami
Jamaa jinga sana....Lilikuwa member wa Praise teamSio unawasubiri kwa hamu, we sema unajihami