Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,234
- 33,825
Kama kweli Wewe siyo mfia chama sasa imekuwaje umechomekea hili?Ukiweza kusoma bila kutanguliza hisia utajua kuwa sisi wengine siyo wafia vyama...tunalima na kupongeza kotekote fairly
Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda].