This is a fact
Dah!

Unajua kuna mambo mengine mtu unadhani ni common sense tu....kwamba they are a no-brainer...lakini unakuta kuna mamtu hayaoni na hayaelewi.

I mean...suala kama hili la CCM kufanya mikutano yao ikulu ni jambo ambalo wala halihitaji mjadala kabisa. Ni suala ambalo mtu yeyote kwa kutumia busara tu za kawaida anapaswa alione kuwa si sahihi katika mazingira [ya vyama vingi] tuliyonayo!

Moja ya mambo ambayo nilikuwa japo na matumaini kidogo na huyu Ngosha lilikuwa ni hili la CCM kufanyia mikutano ikulu.

Nilidhani [maybe naively] kwamba kwa vile jamaa anajipambanua kuwa ni a no-nonsense guy basi labda atauondolea mbali huo utaratibu lakini wapi!

Hii nchi bana....
 
Hii serikali imeweka rekodi katika utendaji wake....

Shughuli za kijeshi kufanyika za kisiasa, refer tukio la hivi karibuni katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid!

Vikao vya chama kufanyia Ikulu, refer tukio la kumalizika kwa vikao vya CCM katika Ikulu yetu!.

Nimeamini maneno ya Zitto Kabwe kuwa tumeikabidhi nchi kwa washamba na malimbueni!
 
Kwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam.

Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda].

Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo.

Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.

Ndiyo, inawezekana si kinyume na sheria kufanyia hivyo vikao vyao hapo ikulu.

Lakini, hata kama kwa sasa si kinyume na sheria, kufanyia vikao vya kichama kwenye mali ya serikali ya Watanzania si sawa hata kidogo. Inaleta picha mbaya ya matumizi ya mali ya umma kwa shughuli binafsi za kichama.

Muda umefika sasa wa kulifanya jambo hilo liwe ni kinyume na sheria. Ningependa kuona wabunge wote wenye nia njema, bila kujali vyama na itikadi zao, kulivalia njuga suala hili na kulitungia sheria dhidi yake ili likome.

Mambo ya vyama yawe yanafanyika huko Lumumba, Ufipa, Buguruni, na kwingineko huko. Lakini siyo ikulu.

Naamini jambo kama hili linaweza kupata idadi ya kutosha ya wabunge na kuweza kulikomesha kabisa.

Wabunge kazi kwenu sasa...hebu fanyeni kazi kwa manufaa ya Watanzania wote...walau hata kwa mara moja tu.
kwa hawa wabunge wetu wa ndiooo umajisumbua hasa ukizingatia wao ndio wengi bungeni
 
Kwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam.

Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda].

Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo.

Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.

Ndiyo, inawezekana si kinyume na sheria kufanyia hivyo vikao vyao hapo ikulu.

Lakini, hata kama kwa sasa si kinyume na sheria, kufanyia vikao vya kichama kwenye mali ya serikali ya Watanzania si sawa hata kidogo. Inaleta picha mbaya ya matumizi ya mali ya umma kwa shughuli binafsi za kichama.

Muda umefika sasa wa kulifanya jambo hilo liwe ni kinyume na sheria. Ningependa kuona wabunge wote wenye nia njema, bila kujali vyama na itikadi zao, kulivalia njuga suala hili na kulitungia sheria dhidi yake ili likome.

Mambo ya vyama yawe yanafanyika huko Lumumba, Ufipa, Buguruni, na kwingineko huko. Lakini siyo ikulu.

Naamini jambo kama hili linaweza kupata idadi ya kutosha ya wabunge na kuweza kulikomesha kabisa.

Wabunge kazi kwenu sasa...hebu fanyeni kazi kwa manufaa ya Watanzania wote...walau hata kwa mara moja tu.
Wale ndio Mzee wa kijani hawana hiyo nguvu. Na hivi kuna SMG ndo hawatajaribu kabisa. Sahau ndugu yangu sisi tumemwachia Mungu atoe hukumu
 
Ikulu ndio kwenyewe kabisa. Habari za kikao azipatikani ovyo ovyo. Ohio wamegukuzwa watu. Ohio kinana kaandika barua ya kujihuzulu ohooo eti watu wote wanaofuata cha mavii wamefukuzwa. Kumbe wapi bwana... Taarifa sizo kabisa.
 
Kwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam.

Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda].

Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo.

Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.

Ndiyo, inawezekana si kinyume na sheria kufanyia hivyo vikao vyao hapo ikulu.

Lakini, hata kama kwa sasa si kinyume na sheria, kufanyia vikao vya kichama kwenye mali ya serikali ya Watanzania si sawa hata kidogo. Inaleta picha mbaya ya matumizi ya mali ya umma kwa shughuli binafsi za kichama.

Muda umefika sasa wa kulifanya jambo hilo liwe ni kinyume na sheria. Ningependa kuona wabunge wote wenye nia njema, bila kujali vyama na itikadi zao, kulivalia njuga suala hili na kulitungia sheria dhidi yake ili likome.

Mambo ya vyama yawe yanafanyika huko Lumumba, Ufipa, Buguruni, na kwingineko huko. Lakini siyo ikulu.

Naamini jambo kama hili linaweza kupata idadi ya kutosha ya wabunge na kuweza kulikomesha kabisa.

Wabunge kazi kwenu sasa...hebu fanyeni kazi kwa manufaa ya Watanzania wote...walau hata kwa mara moja tu.
Kama upendi saga chupa ubwie mnafki mkubwa wewe.

Eti upendi nyama ya nguruwe ila mchuzi wake unakunywa, jinga kabisa.
 
Kwa karibu miaka 10 sasa baadhi yetu tumekuwa tukipinga na kukemea vikali sana vikao vya CCM kufanyikia ikulu ya Dar es salaam.

Haya mambo yalishika kasi sana enzi za Jakaya Kikwete [ambaye siku hizi ni kipenzi cha makamanda].

Magufuli naye sasa anauendeleza huo utaratibu wa hovyo.

Hii inakera sana. Siipendi kabisa mimi.

Ndiyo, inawezekana si kinyume na sheria kufanyia hivyo vikao vyao hapo ikulu.

Lakini, hata kama kwa sasa si kinyume na sheria, kufanyia vikao vya kichama kwenye mali ya serikali ya Watanzania si sawa hata kidogo. Inaleta picha mbaya ya matumizi ya mali ya umma kwa shughuli binafsi za kichama.

Muda umefika sasa wa kulifanya jambo hilo liwe ni kinyume na sheria. Ningependa kuona wabunge wote wenye nia njema, bila kujali vyama na itikadi zao, kulivalia njuga suala hili na kulitungia sheria dhidi yake ili likome.

Mambo ya vyama yawe yanafanyika huko Lumumba, Ufipa, Buguruni, na kwingineko huko. Lakini siyo ikulu.

Naamini jambo kama hili linaweza kupata idadi ya kutosha ya wabunge na kuweza kulikomesha kabisa.

Wabunge kazi kwenu sasa...hebu fanyeni kazi kwa manufaa ya Watanzania wote...walau hata kwa mara moja tu.
Ufahamu umekurudia wewe LB 7
 
"Mwenyekiti wa CCM kamuomba Rais" kufanyia vikao vya CCM ikulu. Nahisi hivyo.
Sisi wananchi tunapongeza Rais kufanyia vikao ikulu kwani tumeshachoka kusimamishwa barabarani masaa matatu kisa msafara.

Waendelee tu kufanyia huko huko ikulu, chama kimeshika hatamu.
 
Dah!

Unajua kuna mambo mengine mtu unadhani ni common sense tu....kwamba they are a no-brainer...lakini unakuta kuna mamtu hayaoni na hayaelewi.

I mean...suala kama hili la CCM kufanya mikutano yao ikulu ni jambo ambalo wala halihitaji mjadala kabisa. Ni suala ambalo mtu yeyote kwa kutumia busara tu za kawaida anapaswa alione kuwa si sahihi katika mazingira [ya vyama vingi] tuliyonayo!

Moja ya mambo ambayo nilikuwa japo na matumaini kidogo na huyu Ngosha lilikuwa ni hili la CCM kufanyia mikutano ikulu.

Nilidhani [maybe naively] kwamba kwa vile jamaa anajipambanua kuwa ni a no-nonsense guy basi labda atauondolea mbali huo utaratibu lakini wapi!

Hii nchi bana....
 

Attachments

  • VID_20810705_141722_114-3.mp4
    10.8 MB · Views: 17
Back
Top Bottom