Nipo nduguDada yangu upo?
Bwashee umelewa 🤣 🤣Hahaha wewe bado kidogo tulia utafika karibu na kifo tu bwashee 😄
Jf ingekuwa km Whatsapp hz kungekuwa party ya kunywa tuuNipo rada bwashee , sema kimtindo tu nalisongesha
Huyu atakuwa na matatizo ya afya ya akili 😂
Hahahaha acha basi mzee,, hv unagonga beer au spirits bwasheeNahisi ningekua mzinguaji sana , group la ukoo nilifukuzwa ila kwenye michango wananiomba msamaha wao ,na ni wasomi wazima mpka ma prof wamo😄
Ukizipaka black ndo zinaotea nyingi sasaZikizidi sana unaitwa LOWASSA acha tuu
Mimi mvii kwenye kidevu sijazizoea na sizipendi nazipaka sana black
Kama hauna mvi upara huukosi hapoMimi sina mvi asili yetu ni nywele nyeusi tiiii😅
Pole sana dogo shikilia hapohapo usikate tamaa, giza likizidi kunakaribia kupambazuka😁😁😁Napiga kambi hapa.
Nipo kwenye 30’s za mwanzo, kichwa ni cha moto sana. Kila kitu naona hakiko kwenye mpangilio.
Biashara imeni stress nimepoteza nyele kichwani nimebaki na solor, na mvi kwa mbaali zimeanza.
Oya ni kamzozo🙌🏽
Sema shikamoo me ni bro wakoTulia mangi
Kipindi hicho unajiita LY na hata hujui maana yake 😄😄Mwaka huo nilikuwa L.Y😂
Dah kuna nyakati mnatupiga spana baba zenu mjue 😄😄kumbe watoto hivyoHuaminii? Mie ndio nakuambia sasa, Dec mwaka huu naingia floor ya 3
Bwashee 😅 mpare, mimi mpare akizaliwa hata 1913 bado ni nyumbu kwangu😅😅😅😅
Kabisaa.. Tulikuwa tunajua tu ni la saba😂Kipindi hicho unajiita LY na hata hujui maana yake 😄😄