Vijana wa kitambo chetu

Vijana wa kitambo chetu

Mimi kama kijana wa kitambo kidogo 1986 January , kwa sasa tunatimiza miaka 40 na na wale wa mwishoni 86 🤔


Kuna changamoto zetu spesheli tunazopitia , kama kurelax na kuona ndio tumefika kwa vimafanikio kidogo , ulevi wa kupitiliza na kupenda starehe kama mimi, kupambana na changamoto vya kipara na kitambi 🤔


Kwa ,uzoefu wangu hakuna umri nilipitia changamoto nyingi na msongo kama miaka 30 kwenda 35
 
1785326600377.jpg
 
Nakubaliana na ww ndugu yangu... na ukweli ni kwamba ukishaanza 30+ tu ndo kila kitu ulichofanya hapo awali kinajirudia kichwani haswa ukiwa bado upo katika hali ya kupambana..
Kikubwa ni tunatakiwa kukubaliana na hali tulizonazo kwa wakat huu na tusiingize vichwan mwetu vile tulivyovipoteza, tuamin tunatakiwa kujaribu tena na tena
#DietryOrGetrich
Life begins at 50
 
Back
Top Bottom