Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,976
- 831,545
Wengi wanasema Mkalimani huyu aliyetafsiri Uongo, yaani kudanyanya Umma ni kutokana na kuwa na Majonzi...
Wengi wanasema Mkalimani huyu aliyetafsiri Uongo, yaani kudanyanya Umma ni kutokana na kuwa na Majonzi...
Hiyo si sababu, hats Rais na Waziri wa mambo ya nje! Na Uganda wakati wa kujibu swali toka kwa mwandishi wa BBC, ikabidi Museveni aingilie kati!Kabisa haya ndio matatizo yanayoletwa na kutaka kuajiri vilaza kutoka umoja wa vijana wa ccm!!! Hiyo ndio ccm katika ubora wakebwana hakuna nyingine!!
Kuna watu humu walikuwa wanamtetea hayati kwa kutojua english leo wameona umuhimu wakeyawezekana jamaa alijua akisema jamaa hakupenda safiri na alipenda kaa home tu watu watasema alikuwa anaogopa english basi akaamua akaushe tu
Kuna watu mnatetea chochote na popote wakati wote! Hiki nacho nikipajiJamaa alikuwa kachanganywa na ule msiba kwa kwel kwa maana kukosea n ngumu ile hotuba huwa inaandikwa
HalafuYule jamaa ni mtu ambae alikuwa karibu na hayati, yule ni mwajiriwa wa mjengoni pale pale so huwezi jua ukaribu wake na hayati...ibaki tu kusema alikuwa ktk simanzi bac kodogo akateleza
Acha kuwa mjinga kiasi hicho wewe, shwain.Kadanganya nini? Alichokua anafanya mkalimani ni kuelezea nini anaongea mhusika ila ktk lugha ya kiswahili, ni kama simulizi ila ktk kiswahili.
tatizo la wengi wa shule ya kata kama alisikia neno ABOUT kwenye speech ya kizungu basi kwa kiswahili anategemea neno KUHUSU liwepo na asipolisikia anasema umemuingiza cha kike...
Hivi wananchi wa kawe wameshaenda Marekani?Magu angekuwa mzima, kuna watu wangekosa kazi leo leo!
Kwani Gwajiboy yupo wapi atuletee wakalimani wake?? Au ndiyo hawa katuazima??
Everyday is Saturday............................... 😎
Mbona unakuwa headless chicken kama baba yakoelezeni alipokosea,hebu acheni unafiki,mkalimani hakuna alichokosea sema nyie mnataka atafsiri kama mnavyotaka nyie





Hahahaaaa, mkuu umeua! Mitano tenaHuyo ameshazoea kuongopa toka huyo ninja akiwa hai.
Kiongozi anaweza kusema "H.E John Magufuli congratulation for being elected" mkarimani alivyo mnafiki utasikia "Hongera sana Mheshimiwa Rais Magufuli kwa ushindi wa kishindo mitano tena"
Mtzji wao sasa (wajinga ambao ni wengi) sio kwa shangwe watakazozitoa.
Tunahakiki kwanza ili tusije tukapeleka mamluki, tukisema wakazi wa jimbo la kawe tuna maanisha kawe kweli kweliHivi wananchi wa kawe wameshaenda Marekani?
Kuna kiongozi sijui wa wapi, kasema na kumaanisha jina la Marehemu liwe katika miji mikuu ya Afrika (all African capitals), jamaa yeye kasema jina liwe katika makabati yote ya Afrika!



jamaa katurusha sanaalichotafasili alikitoa wapi. tuanzie hapoLakini aliomba msamaha kwa kusema kumradhi sikuwa nimemsikia vizuri.
Ktk kinywa chakeYale maneno aliyoongea aliyatoa wapi?
Kwa hiyo ndio umegoma kumsamehe ?Sio kweli
Ndio mkambadilikia na akawaomba radhiHalafu
Alikitoa huko huko vinapotolewa vingine.alichotafasili alikitoa wapi. tuanzie hapo
Unajua kuna error na blunder. Ile ya jamaa ni blunder, wala asituongopee
lugha 50?kasus mujarrab hii.baadha ya maoni ya watuView attachment 1732130
UnazinguaNdio mkambadilikia na akawaomba radhi