VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

Wengi wanasema Mkalimani huyu aliyetafsiri Uongo, yaani kudanyanya Umma ni kutokana na kuwa na Majonzi.

Wengine wanadai hajui chichote ingawa alijua watu wako kwenye majonzi na wasinge shtukia chochote.

Wengine wanaenda mbali zaidi nakusema tatizo nikuweka mkazo zaidi wa Kiingereza kuanzia kidato cha kwanza ndiyo maana na kwamba ingekuwa hivyo tangu msingi mambo yangekuwa "Super"

Tazama Video View attachment 1731800
Maskini Mwamposa hadi akarudia x2 ili ujumbe ufike
 
Kuna wanao dai angetafsiri kwa usahihi wana ‘nzengo’ wange chukulia kama udhalilishaji kwa marehem mpendwa wao, hivyo mtafasiri akaona mi bora yeye abe be lawama kwa kupindisha mameno kidogo
 
Wamekudanganya nini?
IMG_20210322_195942.jpg
 
Wengine tulikuwa shamba kulima sasa hatuelewi kimetokea nini tuambie alikosea nini huyo mkalimani,
Wazee wa acheche production wanatupigaga kamba Sana tunavumilia tu kwa sababu hatukusoma.
IMG_20210322_195942.jpg
 
Rubbish... Mbona kwenye TV watangazaji wanaelezea matukio yote ya msiba kwani wao hawana simanzi??
Yule jamaa ni mtu ambae alikuwa karibu na hayati, yule ni mwajiriwa wa mjengoni pale pale so huwezi jua ukaribu wake na hayati...ibaki tu kusema alikuwa ktk simanzi bac kodogo akateleza
 
Back
Top Bottom