VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

Na ni kweli ngoja nitulize Figo zangu..🤣
Unaeza kushangaa anatwiti... '' KENZY
nakuona hapo mabibo unanunua miguu ya kuku na utumbo''
Alafu kumbe ndo upo maeneo hayo na tukio ndo hilohilo... Sidhani hata utaenda kukata gogo mkuu 😂😂
 
Magu angekuwa mzima, kuna watu wangekosa kazi leo leo!
Kwani Gwajiboy yupo wapi atuletee wakalimani wake?? Au ndiyo hawa katuazima??

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Unaeza kushangaa anatwiti... '' KENZY
nakuona hapo mabibo unanunua miguu ya kuku na utumbo''
Alafu kumbe ndo upo maeneo hayo na tukio ndo hilohilo... Sidhani hata utaenda kukata gogo mkuu 😂😂
Mkuu tuishie hapa watu wengine hao ni nuksi.. unaweza kuta picha zangu zikaanza vuja nikawa habari nchi nzima na ukiwa habari time hii jua utauona mkono wa bwana maana utaonekana unaingilia huzuni..
 
Jana nilipanda bus toka moro kuja dar wakaweka hizi sinema zinazotafsiriwa kiswahili yaani mtu anayetafsiri alikuwa anafikiri hizi sinema zinaangaliwa kwenye vibanda umiza alikuwa anaweka maneno anayojupa yeye full kudanganya
 
Ñikuchanganya habari maana hajakosea sema kwa wakati ule yeye ndicho alichokuwa akikiwaza kuwa kitasemwa.
 
M niliyekuwa nasikiliza radio nilijua ni *Gugo transilaita *
 
Kwenye tv juzi ilisikia ati mpaka anakufa alitembelea nchi 7 za afrika kweli hakupenda kusafiri ingawa hawakutaja nchi hizo
 
Magu angekuwa mzima, kuna watu wangekosa kazi leo leo!
Kwani Gwajiboy yupo wapi atuletee wakalimani wake?? Au ndiyo hawa katuazima??

Everyday is Saturday............................... 😎
Hahah
 
hahahahaa daah aiseee sio mbaya ucheshi kama huu sometimes unatumika kufariji wafiwa
 
elezeni alipokosea,hebu acheni unafiki,mkalimani hakuna alichokosea sema nyie mnataka atafsiri kama mnavyotaka nyie
 
Duh akatukaanga namna hii
namsilikiza tu tangu Felix Tshisekedi mkalimani alikuwa anatotoa njiani
 
Back
Top Bottom