VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

Na hasa kwenye kutafsiri alipokuwa anaongea rais wa South.

Kuna muda Rais wa South anasema kwemye kikao cha SADC kilichofanyika Tanzania, departed President John Magufuli ndio alikuwa chairman. Ila mkalimani akatwambia eti "Kiongozi aliyetoka baadae ndio alimpa Magufuli kijiti"

 
Yule jamaa ni mtu ambae alikuwa karibu na hayati, yule ni mwajiriwa wa mjengoni pale pale so huwezi jua ukaribu wake na hayati...ibaki tu kusema alikuwa ktk simanzi bac kodogo akateleza
Yale maneno aliyoongea aliyatoa wapi?
 
Hiyo ndio Cult ya Magufuli watu wanasifia na kudanganyana hadharani

Mungu ametuepushia
 
Mkalimani kachomoa Betri anasifu na kusujudu tofauti na kinachosemwa.
 
Jamaa alikuwa kachanganywa na ule msiba kwa kwel kwa maana kukosea n ngumu ile hotuba huwa inaandikwa
 
Wakenya watafurahia sana manake wao wanajifanya wajuzi wa lugha ya malkia
 
Na hasa kwenye kutafsiri alipokuwa anaongea rais wa South.

Kuna muda Rais wa South anasema kwemye kikao cha SADC kilichofanyika Tanzania, departed President John Magufuli ndio alikuwa chairman. Ila mkalimani akatwambia eti "Kiongozi aliyetoka baadae ndio alimpa Magufuli kijiti"
Mkalimani aliposema MANENO HAYO niliona aibu Mimi wakuu
 
Mkalimani tairee
20210322_213910.jpg
 
Back
Top Bottom