MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,139
- 3,226
Na hasa kwenye kutafsiri alipokuwa anaongea rais wa South.
Kuna muda Rais wa South anasema kwemye kikao cha SADC kilichofanyika Tanzania, departed President John Magufuli ndio alikuwa chairman. Ila mkalimani akatwambia eti "Kiongozi aliyetoka baadae ndio alimpa Magufuli kijiti"![]()








