Kadanganya nini? Alichokua anafanya mkalimani ni kuelezea nini anaongea mhusika ila ktk lugha ya kiswahili, ni kama simulizi ila ktk kiswahili.Angenyamaza kuliko kuamua kudanganya watu had wakaguna
ConnectionKwa nini wasingemwita masanja mkandamizaji awasaidie maana yeye kazoea kutafsiri mahubiri ya wachungaji kutoka nje....angalau yeye akizingua watu watasema hiyo ni comedy..
Hapo kweli kapuyanga mpaka kazomewa maana kilichoongelewa ni kitu kirahisi sana.Au nakosea ndugu zangu?View attachment 1731748
Na ni ndugu yako..🤣Hahahaaaa. Hapa mkalimani kapuyanga.
Ndugu yangu wa wapi tena? 🙃🙃🙃Na ni ndugu yako..🤣
Jamaa kwa pale alifanya hearing na siyo listening, ndiyo maana katoa tafsiri tofauti kabisa😁Mkali kama mkalimani leta mwongozo kwa wenzako 😂😂..... Yani hata traveller hukuiskia dahh alafu unaeza kuta ndo kidukulilo yule 😁
Si mtanzania mwenzako mbona wamkana..??😅Ndugu yangu wa wapi tena? 🙃🙃🙃
Hahahahaaa. Ni kweli kabisa japo hapa kawaachia story wale wageni. 😅😅Si mtanzania mwenzako mbona wamkana..??😅
Ni kweli mbona hata kule south Africa yupo alishawahi kuyaboronga mi nahisi jamaa kafanya kusudi huyu.. 🤣Hahahahaaa. Ni kweli kabisa japo hapa kawaachia story wale wageni. 😅😅
Mana ile ni zaidi ya lugha gongana.
Na ni kweli ngoja nitulize Figo zangu..🤣Mkuu angalia tusije tukaanza kukuona twira
Hamna K Vant hapo mkalimani alivusha yaani mawazo hayakuwa uwanjani.Ni kweli mbona hata kule south Africa yupo alishawahi kuyaboronga mi nahisi jamaa kafanya kusudi huyu.. 🤣
Mwambie Kaka yako apunguze k vant..😅