VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

Tulianzia kwenye hizi sinema zetu, sasa tunaendelea kuonyesha kuwa lugha ya malkia kwa watanzania walio wengi imekuwa mwiba, ni hatukijui kimalkia basi tu.
 
Tusubiri magazeti ya nje sasa maana dunia nzima tunaangalia
Anaweza akapata kozi huyo
 
Wakalimani na watafsiri wa viongozi baadhi ya maneno ya kingereza wanatudanganya, sipati picha kifaransa kama wanasema kweli!
Tushukuru bora amepatikana, Kyle Zimbabwe alikosekana hajukua na cha Kabudi wala nani! Ililazimu Rais wa Zimbabwe afanye hiyo kazi bahati aliwahi kuishi Morogoro kama mkimbizi.
 
Wengi wanasema Mkalimani huyu aliyetafsiri Uongo, yaani kudanyanya Umma ni kutokana na kuwa na Majonzi.

Wengine wanadai hajui chichote ingawa alijua watu wako kwenye majonzi na wasinge shtukia chochote.

Wengine wanaenda mbali zaidi nakusema tatizo nikuweka mkazo zaidi wa Kiingereza kuanzia kidato cha kwanza ndiyo maana na kwamba ingekuwa hivyo tangu msingi mambo yangekuwa "Super"

Tazama Video
 
Na hasa kwenye kutafsiri alipokuwa anaongea rais wa South.

Kuna muda Rais wa South anasema kwemye kikao cha SADC kilichofanyika Tanzania, departed President John Magufuli ndio alikuwa chairman. Ila mkalimani akatwambia eti "Kiongozi aliyetoka baadae ndio alimpa Magufuli kijiti"
 
Na hasa kwenye kutafsiri alipokuwa anaongea rais wa South.

Kuna muda Rais wa South anasema kwemye kikao cha SADC kilichofanyika Tanzania, departed President John Magufuli ndio alikuwa chairman. Ila mkalimani akatwambia eti "Kiongozi aliyetoka baadae ndio alimpa Magufuli kijiti"
Kiukweli hawa watu wanapogosha sana.

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom