Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,433
MK254 njoo huku utucheke
MK254 njoo huku utucheke
Daah as if kila mtu anajua hii issue... Umeshindwa hata kuweka kautangulizi kidogo na angalau sentensi moja iliyotafsiriwa ndivyo sivyo??Wakalimani na watafsiri wa viongozi baadhi ya maneno ya kingereza wanatudanganya, sipati picha kifaransa kama wanasema kweli!
Rubbish... Mbona kwenye TV watangazaji wanaelezea matukio yote ya msiba kwani wao hawana simanzi??Kumbuka mtafsiri alikuwa ktk hali ya simanzi so kupoteza concentration ni kawaida
Nimehisi hivyo pia. Yaani sio kwamba jamaa hakusikia vizuri au hakuelewa, ila alihisi kilichosemwa na Rais Ramaphosa ni kama kilikuwa negative kwa JPM (kwa mtazamo wake), akaamua 'ayeyushe' kwa kuweka maneno yake.yawezekana jamaa alijua akisema jamaa hakupenda safiri na alipenda kaa home tu watu watasema alikuwa anaogopa english basi akaamua akaushe tu
Hebu acheni upuuzi bwana, yaani mtu kaboronga halafu unatetea? Kwani nchi nzima mkalimani ni yeye peke yake??Nahisi badala ya kusukuma lawama kwa huyu aliyejitahidi ni bora kujiuliza sababu au chanzo cha tatizo hili.
Huenda huyu akawa ndiye bora.
Sio kweli.Wengi wanasema Mkalimani huyu aliyetafsiri Uongo, yaani kudanyanya Umma ni kutokana na kuwa na Majonzi.
Wengine wanadai hajui chichote ingawa alijua watu wako kwenye majonzi na wasinge shtukia chochote.
Wengine wanaenda mbali zaidi nakusema tatizo nikuweka mkazo zaidi wa Kiingereza kuanzia kidato cha kwanza ndiyo maana na kwamba ingekuwa hivyo tangu msingi mambo yangekuwa "Super"
Tazama VideoView attachment 1731800
yap huyu jamaa ni mbongo na anajua unaa wa wabongo juu ya jamaa kutosafiri nje hivyo akaona akaushe tuNimehisi hivyo pia. Yaani sio kwamba jamaa hakusikia vizuri au hakuelewa, ila alihisi kilichosemwa na Rais Ramaphosa ni kama kilikuwa negative kwa JPM (kwa mtazamo wake), akaamua 'ayeyushe' kwa kuweka maneno yake.
daah! sio poaHuyu mkalimani ni mwana CCM halisi. CCM hata wakikwambia nje kuna mvua toka nje ushuhudie.
Ulikuwa wapi alipofanya ziara Zimbabwe, msafara mzima alioongozana nao hakuna anayejua kiingereza! Aibu.
Mambo ya mtoto wa dada apate nafasi hayo
GoodmorningHuyu mkalimani ni mwana CCM halisi. CCM hata wakikwambia nje kuna mvua toka nje ushuhudie.
Dah mbavu zangu mie mkalimani kaenda OP kabisaaa.Wengi wanasema Mkalimani huyu aliyetafsiri Uongo, yaani kudanyanya Umma ni kutokana na kuwa na Majonzi.
Wengine wanadai hajui chichote ingawa alijua watu wako kwenye majonzi na wasinge shtukia chochote.
Wengine wanaenda mbali zaidi nakusema tatizo nikuweka mkazo zaidi wa Kiingereza kuanzia kidato cha kwanza ndiyo maana na kwamba ingekuwa hivyo tangu msingi mambo yangekuwa "Super"
Tazama VideoView attachment 1731800
Oh kumbe alisahihisha... Makosa yapo na husahihishwa pale unapogundua umekosea.Alisahihisha Apo usilete ujuaji hapa