VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

Nashindwa tu ku attach video hapa. Ila mwamba katurusha kindez sana.
Jamaa inawezekana ni mzuri kutafsiri ila akafanya makusudi ili kunijibu watu wasijue sifa aliyosemewa marehemu ya kutosafiri
 
Jamaa inawezekana ni mzuri kutafsiri ila akafanya makusudi ili kunijibu watu wasijue sifa aliyosemewa marehemu ya kutosafiri
Sidhani kama anaweza kuhatarisha kazi yake kizembe vile.
 
Tuendelee nA maombolezo
mr_misifa1-___CMutxABBlDu___-.jpg
 
Na hasa kwenye kutafsiri alipokuwa anaongea rais wa South.

Kuna muda Rais wa South anasema kwemye kikao cha SADC kilichofanyika Tanzania, departed President John Magufuli ndio alikuwa chairman. Ila mkalimani akatwambia eti "Kiongozi aliyetoka baadae ndio alimpa Magufuli kijiti"
Yaap hata Mimi nilipaskia daahh!nikajua Mimi ndo sijui kizungu may be!!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna watu wanamtetea kwamba alikosea bahati mbaya lakini ukweli ni kwamba hata kifaransa alikuwa anakosea kukalimani.
 
Hivi wananchi wa kawe wameshaenda Marekani?
Sijajua! Nawaza, au itakuwa ndiyo wale waliovamia uwanjani juzi! Labda wapo walioondoka na ndege. 😅 😅 😅 😅

Everyday is Saturday................................😎
 
Sijajua! Nawaza, au itakuwa ndiyo wale waliovamia uwanjani juzi! Labda wapo walioondoka na ndege. 😅 😅 😅 😅

Everyday is Saturday................................😎
Hahah
 
Back
Top Bottom