VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

VIDEO: Mkalimani aliyeingiza watu "Chemba"

Screenshot_20210323-063046.jpg
 
Ukweli ni kwamba Huyu mkalimani ameliaibisha taifa, tena katika hali ya juu sana, , , nimesikia watu wanasema alikiwa na majonzi/simanzi, , , , huo ni upumbavu hivi mtu yupo kazini atawezaje kuhusisha majonzi/simanzi zake na kazi?

Yaani mbele ya viongozi wengi karibu 17 wa mataifa mbalimbali anazungumza pumba vile?

Ilibidi ajitokeze wazi mbele ya vyombo vya habari aombe radhi kwa kitendo hicho!
 
Kuna wanao dai angetafsiri kwa usahihi wana ‘nzengo’ wange chukulia kama udhalilishaji kwa marehem mpendwa wao, hivyo mtafasiri akaona mi bora yeye abe be lawama kwa kupindisha mameno kidogo
Rubbish
 
nimejiuliza hivi UDOM achilia mbali UDSM hakuna wataalam wa ukalimani mpaka anapewa kazi mtu wa namna hiyo?
 
Nahisi badala ya kusukuma lawama kwa huyu aliyejitahidi ni bora kujiuliza sababu au chanzo cha tatizo hili.
Huenda huyu akawa ndiye bora.

Capitol anadhani ni cabinet hakuna Makabati ya Afrika​

angesema yahifadhiwe katika kumbukumbu (Makumbusho / nyumba au mafaili ya makabati) zetu kote barani Afrika
 
J'aimera vous remercier les tanzaniens de votre patience pendant cette période difficile Dieu qu'il soit avec vous
 
...Kama nawaona jamaa wa jirani +254 wanavyocheka.....
 
yawezekana jamaa alijua akisema jamaa hakupenda safiri na alipenda kaa home tu watu watasema alikuwa anaogopa english basi akaamua akaushe tu
Walahi hata mie nilihisi hivyo. Kaona isiwe tabu, ampotezee jamaa na adanganye wasikilizaji
 
Back
Top Bottom