Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,749
- 28,144
Sioni kama kuna shida iwapo alikosea ana akarekebisha
Ana uhusiano wowote na Dada Joy?Huyu mwamba nadhani alijua watu wako kwenye majonzi wasingesikia.View attachment 1731804
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Duh...
Ni Team MATAGAHuyu hapa Mr Matungwa,na huyu nahisi atakuwa na vinasaba vya Lumumba na MatagaView attachment 1732033
Hivi una dhamana kweli ili abambikiweuhujumu wa hotuba.
😂😂😂😂😂😂kazi iendeleeNa hasa kwenye kutafsiri alipokuwa anaongea rais wa South.
Kuna muda Rais wa South anasema kwemye kikao cha SADC kilichofanyika Tanzania, departed President John Magufuli ndio alikuwa chairman. Ila mkalimani akatwambia eti "Kiongozi aliyetoka baadae ndio alimpa Magufuli kijiti"![]()