greenwoods
JF-Expert Member
- Sep 21, 2020
- 2,319
- 3,929
Ulivyoandika utadhani mbowe ni malaika.Hata we unaongea nafsini una hatia na unajua. Ila kwasababu ni wakala wa shetani Lazima ujikaze.
Mbowe akifungwa hakuna faida yyte kwako wala KWA taifa. Bali ni wale wenye madaraka ndiyo wanataka watawale bila bughula. Wale keki ya nchi KWA amani.
Ole wa wananchi maskini pamoja na ww takataka wapiga mdomo bila faida yyte.