Video: Kesi ya F. A. Mbowe na wenzake, wakili aichambua hukumu ndogo ya Jaji M. Siyani...

View attachment 1982004
Jaji Mustapha Siyani katishwa akatishika na kuamua kuisigina haki hadharani mchana kweupe....

Amejitoa kuisikiliza kesi hii kwa maumivu makali katika nafsi yake kwa kuisigina haki mchana kweupe akidhani kwa kuwa yeye ni JAJI, wengine wote ni "wajinga" hatutaona upuuzi wake. Amekosea sana...!

Huyu kajitoa si kwa sababu eti ya majukumu yake mapya ya ujaji kiongozi, la hasha...!

Ni kwa sababu NAFSI YAKE IMEBEBA HATIA [guilty conscious]. Anaona giza mbele yake. Anamtumikia ibilisi shetani. Na shetani hana mzaha, atamtumikia weeeee lakini mwishoni anammaliza kwa kumchinja yeye. Ndivyo ilivyokuwa kwa Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu Kristo...!!

Hapo awali alijitahidi sana kuonekana ni mtu wa haki lakini mwizi ni mwizi tu japo atajifanya kuvaa ngozi ya mwanakondoo asiye na dhambi lakini mwisho wa siku atajionesha tu kwa ngozi yake halisi ya chui....

Hii ndiyo picha ya Jaji Mustapha Siyani ambayo mtu anaweza kuichora. Hakika, hii haina shaka yoyote kuwa huyu naye ni mshirika wa ile syndicate ya uhalifu wa kidola...

Jaji Siyani amemaliza kipande chake, anakuja Jaji mwingine miongoni mwa syndicate ileile ya waliokwisha kuapa kuwa lazima wampoteze Mbowe na CHADEMA...

Swali ni wataweza? Mpango wao huu muovu utafanikiwa?

Msikilize wakili huyu akichambua makosa ya kisheria ya hukumu ya Jaji Mustapha Siyani...

Simple and clear:

1. kwanini jaji ametupilia mbali pingamizi kuwa maelezo ya mshitakiwa yalitolewa nje ya muda?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

2. Kwanini jaji ametulipia mbali pingamizi kuwa mshitakiwa aliteswa?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?
 
Wati waondoe imani kabisa kwenye mahakama hizi za Tanzania, labda kama ni kesi ya wizi wa kuku au nyanya, lakini siyo inayohusisha dola.

Mnatakiwa mfahamu kuwa Msajili wa Mahakama ni afisa wa TISS. Huyu akishakubaliana na Rais juu ya hukumu inayotakiwa, ndiyo hupanga jaji au hakimu wa kuisikiliza, ambaye naye ni lazima awe afisa wa TISS aliyepewa ujaji au uhakimu.

Kesi ya Mbowe, kwanza aliwekwa afisa wa TISS, akajiondoa, kisha msajili akamweka afisa mwingine wa TiSS, Mustapha. Ametoka huyu, ni lazima apangwe tena afisa mwingine wa TISS.

Hata kesi ya Sabaya haijasikilizwa na hakimu halisi bali afisa wa TISS aliyetumbukizwa mahakamani. Kinadharia, amehukumiwa kwa makosa ya unyang'anyi wa fedha lakini siyo sababu. Kama ni unyang'anyi wa fedha, Sabaya anamzidi Makonda?
 
Simple and clear:

1. kwanini jaji ametupilia mbali pingamizi kuwa maelezo ya mshitakiwa yalitolewa nje ya muda?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

2. Kwanini jaji ametulipia mbali pingamizi kuwa mshitakiwa aliteswa?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?
Nina mashaka kama ulisoma ile hukumu kweli
 
Nina mashaka kama ulisoma ile hukumu kweli

Wewe uliyeisoma ugumu uko wapi kuweka majibu hapa kwenye hizo question marks hapo chini?

------
1. kwanini jaji ametupilia mbali pingamizi kuwa maelezo ya mshitakiwa yalitolewa nje ya muda?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

2. Kwanini jaji ametulipia mbali pingamizi kuwa mshitakiwa aliteswa?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?
--------

Weka majibu wacha porojo.

Wewe si una miaka 2 ya kazi?

IMG_20211021_205031_806.jpg
 
Amepewa cheo katika mazingira ya kushangaza na katika wakati usio tarajiwa! Na yeye akakubali kwa mikoni yake miwili kumtumikia Shetwani Ibilisi!

Malipo ni hapa hapa duniani.
Samia anaenda na mdundo ule ule wa Jiwe wa kuwatunza wahalifu ili kukomoa watesi wake.
 
Samia Suluhu Hassan ndiye HAKIMU wa hii kesi. Wala msimlaumu Sana Jaji Mustafa japo kashindwa kusimamia weledi wa kazi yake.

Cheo alichopewa ni km alikumbushwa wajibu wake ktk hii kesi. Na amefanya na kujitoa.
 
Simple and clear:

1. kwanini jaji ametupilia mbali pingamizi kuwa maelezo ya mshitakiwa yalitolewa nje ya muda?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?

2. Kwanini jaji ametulipia mbali pingamizi kuwa mshitakiwa aliteswa?

(a) Kwa ushahidi upi?
(b) Kwa kifungu kipi cha sheria?
Jaji alitaka aone mpaka makovu ya mshitakiwa lkn ktk hukumu amefumba macho.

Hukumu ya maagizo.
 
View attachment 1982004
Jaji Mustapha Siyani katishwa akatishika na kuamua kuisigina haki hadharani mchana kweupe....

Amejitoa kuisikiliza kesi hii kwa maumivu makali katika nafsi yake kwa kuisigina haki mchana kweupe akidhani kwa kuwa yeye ni JAJI, wengine wote ni "wajinga" hatutaona upuuzi wake. Amekosea sana...!

Huyu kajitoa si kwa sababu eti ya majukumu yake mapya ya ujaji kiongozi, la hasha...!

Ni kwa sababu NAFSI YAKE IMEBEBA HATIA [guilty conscious]. Anaona giza mbele yake. Anamtumikia ibilisi shetani. Na shetani hana mzaha, atamtumikia weeeee lakini mwishoni anammaliza kwa kumchinja yeye. Ndivyo ilivyokuwa kwa Yuda Iskariote aliyemsaliti Yesu Kristo...!!

Hapo awali alijitahidi sana kuonekana ni mtu wa haki lakini mwizi ni mwizi tu japo atajifanya kuvaa ngozi ya mwanakondoo asiye na dhambi lakini mwisho wa siku atajionesha tu kwa ngozi yake halisi ya chui....

Hii ndiyo picha ya Jaji Mustapha Siyani ambayo mtu anaweza kuichora. Hakika, hii haina shaka yoyote kuwa huyu naye ni mshirika wa ile syndicate ya uhalifu wa kidola...

Jaji Siyani amemaliza kipande chake, anakuja Jaji mwingine miongoni mwa syndicate ileile ya waliokwisha kuapa kuwa lazima wampoteze Mbowe na CHADEMA...

Swali ni wataweza? Mpango wao huu muovu utafanikiwa?

Msikilize wakili huyu akichambua makosa ya kisheria ya hukumu ya Jaji Mustapha Siyani...
Hawatamuhukumu kifungo Mbowe kamwe,nmwanabuy time tu,watamuachia
 
Kwa hakika Mahakama ya Tanzania sio tena kimbilio la kupata haki..
Wakili ameeleza vizuri katika hiyo audio clip..hata ambaye hajui sheria anatamuelewa vema..
Lakini pale tu huyu Jaji alivyopewa Ujaji Kiongozi nilijua ndio basi tena hakuna HAKI katika hili shauri.
Watu wengine hupoteza fursa ya kutengeneza historia. Huyu ni mmoja wao.
Bado hakuona fursa hiyo iliyokuwa wazi kwake?

Hapa alitakiwa asimamie sheria tu basi bila ya mizengwe yeyote ile. Kwani waliompa hicho cheo wangemnyang'anya cheo kwa vile katimiza matakwa ya sheria?

Watu kama hawa sijui hutokea wapi. Mtu umepewa cheo; na mbele yako unajuwa utajijengea heshima kubwa ya kihistoria!

Kwani genge hili la wahalifu waliopo madarakani watakuwa hapo milele?

Hali inavyokwenda ni dhahiri hawa watawala sasa wapo ukingoni. Nchi haiwezi kutawaliwa kishenzi namna hii ikabaki salama.
 
Back
Top Bottom