audio

  1. Eronda

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Makerere paid UGX 59.3Million to transcribe audio and videos in Besigye treason case

    Makerere University received UGX 59.3 million from the Criminal Investigations Directorate (CID) to transcribe more than 25 hours of audio and video recordings allegedly linked to a treason case involving Dr. Kizza Besigye and his co-accused, the High Court in Kampala has heard. Testifying...
  2. Bin Shaib

    JamiiForums Tanzania Mnisaidie wataalamu wa Audio Production (Producers)kuhusu Desktop

    Wakuuu habari ya wakati,,,,Naamini Mungu anaendelea kutupigania kwenye kila mapito yetu. Wakuu napenda mnipe ushauri,nataka niichukue Computer kwaajili ya krecodi Audio,,je,ni computer gani inafaa au ya bei gani ndo inapiga kazi vizuri? Maana sina uzoefu kabisa na maswala ya ununuzi wa Computer...
  3. B

    JamiiForums Tanzania Wimbo wa dini: Vita vya Leo Ushindi wa Kesho (Audio + Video are using AI)

    Vita vya Leo Ushindi wa Kesho ni wimbo wa kutia moyo unaobeba ujumbe wenye nguvu kutoka Waamuzi 3:1–2. Katika kifungu hiki, Mungu aliwaacha baadhi ya mataifa ili kuwafundisha Waisraeli namna ya kupigana vita—hasa wale ambao hawakuwa wamepitia vita hapo awali. Hii inaonyesha kuwa wakati mwingine...
  4. Yesu Anajibu Songs

    JamiiForums Tanzania Wimbo: Sauti ya Yesu (audio + video vimetengenezwa kwa AI)

    Watu makini wa JF, kwa heshima kubwa napenda kuleta kwenu wimbo tuilioupatia jina "Sauti ya Yesu". Wimbo huu ni matokeo ya matumizi ya teknolojia ya akili unde (AI generated song). Hii ikijumuisha audio pamoja na video zote zimetengenezwa kwa kutumia akili unde. Yesu Anajibu Songs tunaamini...
  5. O

    JamiiForums Tanzania AUDIO DOCK ZA SAMSUNG KAMA DA-E750, DA-E670, and DA-E550, IPI NI BORA ZAID KATI YA HIZI NAFIKIRIA HII 550 KAMA KUNA MTU KADHATUNIA NIPE UZOEFU

    Vipi kuhusu ubora WA sauti, uimara n.k Extrovert
  6. posian el

    JamiiForums Tanzania Audio player nzuri kwa simu za Android

    Je kuna offline audio player nzuri kushinda hizo hapo juu zenye user face nzuri na quality nzuri ya muziki kushinda poweramp player...kama zipi basi unaweza kuzitaja hapo chini....Kwangu Poweramp na oto player ni best
  7. N

    JamiiForums Tanzania Mafwele ana akili sana. Kavujisha audio mwenyewe ili wafanyakazi wa serikali waogope

    Nimesikiliza kwa ukaribu sana ile audio iliyovuja nimejiuliza yafuatayo? 1. Faida au hasara ya kuvuja ni nini ? Kwanza watu wakijua kuwa hata madoctor na wanajeshi wameshikwa itawafanya wengine wote kuwa waoga na wasijiunge na movement ya tarehe 29 2. Ingetakiwa isivuje wangeambiwa waweke cm...
  8. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Audio: Magufuli akiviagiza Vyombo vya ulinzi kumchukulia hatua aliyelipwa mabilion ya pesa kuhusu sare za polisi

    GT Nikikaa nafikiria ulegelege wa vyombo vya ulinzi na usalama awamu hii mwili huwa unakufa ngazi kabisa. Jamani au na Wao wamejiunga na MACCM Kuiba rasilimali za nchi hii. Hapa Hayati Magufuli aliagiza Angela kizigha achukuliwe hatua lakini why siyo sasa na amerudishwa tena ooh nooo my country..
  9. N

    JamiiForums Tanzania Msanii chipukizi yupo hodi akijiuguza maumivu baada ya kurekodi audio milioni 1 na video ya milioni 5 halafu kapata views 200

  10. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Audio: Ugonjwa wa Herpes Simplex na VVU/UKIMWI

    --- --- --- Thread Rejea: - Niko kitandani siku ya pili Sasa Baada ya kukutana na huyu Dada
  11. S

    JamiiForums Tanzania Format factory Software (image, audio, video) - 20,000 Tsh

    Format factory Software (image, audio, video) - 20,000 Tsh *Sifa zake Video converter video downloader Picture converter Audio converter Document manipulation Mawasiliano: 0756704145 Eneo: Dar es salaam, Mbezi
  12. Royal Son

    JamiiForums Tanzania Audio bluetooth receiver kwa bei poa

    📢 Wireless Audio Receiver - Earldom M73 💽 Portable USB Wireless Audio Music Receiver 🎶 Badilisha redio au spika yako kuwa ya kisasa kwa kutumia hii adapter ya Earldom M73! Inakuwezesha kucheza muziki kutoka kwenye simu yako kwa njia ya Bluetooth bila waya! ✅ Inafaa kwa magari, redio za...
  13. Meneja Wa Makampuni

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Kazi ya Kusikiliza Audio na Kuhariri Maandishi

    🚨 NAFASI ZIMEJAZWA TAYARI 📝 Tangazo kutoka Bright and Genius Editors Bright and Genius Editors inatangaza nafasi za kazi kwa watu wenye uwezo wa kusikiliza sauti na kuhariri maandishi yaliyopatikana kutoka kwenye audio kwa usahihi na ufasaha. 🔊 Kazi: Kusikiliza Audio na Kuhariri Maandishi 💻...
  14. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Swahili Audio: Seven Signs They Only Love What You Have (Ishara Saba Kwamba Wanapenda Tu Kile Unachokimiliki)

    Ishara Saba Kwamba Wanapenda Tu Kile Unachokimiliki
  15. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Audio: Pata tafasiri halisi na Maana ya Neno "Gwajimanization"

    GT Sukikiza hii hapa mpaka mwisho..Mkuu.wa Nchi awe anachunga sana kauli.zake kwa umakini Mkubwa.
  16. Trinity

    JamiiForums Tanzania Nawezaje ku download videos na audio YouTube?

    Nawasalimu kupitia jina kuu lipitalo majina yote ulimwenguni.! Naomba msaada wadau maana nimehangaika tangu zamani bila mafanikio. Miaka ya nyuma Kuna jamaa yangu aliniwekea app ilinisaidia sana, lakini Leo nikiiweka inagoma kabisa, inasema "not permission mara strickted dah nafeli sana kwa...
  17. I

    JamiiForums Tanzania Nawezaje kuweka Audio Status Whatsapp

    Msaada tafadhali mwenye kujua
  18. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Audio: Case of Incitement – Republic v. Boniface Jacob (Boniyai) and Godlisten Malisa

    Case of Incitement – Republic v. Boniface Jacob (Boniyai) and Godlisten Malisa Lead Section The case of incitement involving former Ubungo Mayor Boniface Jacob (Boniyai) and human rights advocate Godlisten Malisa represents a high-profile legal proceeding in Tanzania. The defendants face...
  19. V

    JamiiForums Tanzania AUDIO SOUND CARD ZINAUZWA

    Audio sound card 2 zinauzwa hazijatumika Bongo imported from UK 1 . M_Audio njia mbili haijatumika .Bei 350000 2.¹Focusrite 3rd generation Bei 450000 Simu 0712652110 Dar
  20. Bujibuji Simba Nyamaume

    JamiiForums Tanzania UZI MAHSUSI: Zilipendwa, audio/ video/ mashairi lyrics). Karibu upate burudani.

    Huu ni Uzi maalum wa kupata flashbacks za nguvu kutoka nyumbani Tanzania Na hata nje ya Tanzania. Karibuni kwa audio, video Na lyrics..
Back
Top Bottom