Yan msafara upo bahi mjini mlishasimamishwa 😂si mtakaa adi jioni xxCoordination ifanyike vizuri kusiwe na kuchelewashana barabarani ijulikane msafara upo wapi na utachuku gani kupita point flani haiwezekani msafara upo bahi huko, dodoma mjini kote magari yamesimamishwa
Acha yaani hadi traffic aliyetusimamisha alikuwa anajistukia kila saa anaongea na redio call kuulizia manake raia walikuwa wanamuwakia nayeye akasema anafuata maelekezoYan msafara upo bahi mjini mlishasimamishwa 😂si mtakaa adi jioni xx
Huu ni Uoga...Acha yaani hadi traffic aliyetusimamisha alikuwa anajistukia kila saa anaongea na redio call kuulizia manake raia walikuwa wanamuwakia nayeye akasema anafuata maelekezo
Duniani Mgombea yoyote wa siasa anapowania kiti cha kuchaguliwa na wananchi, lazima awe myenyekevu. Sio magufuli pekee. Hata lissu akichaguliwa atakuwa mbogo na hataonekana kirahisi, tusidanganyane.Amelegea legea na amekuwa lege lege sana siku hizi, ubabe kwishnei.
mim ni Cdm ila kwa hil nakupinga.ndege ndio alama na nembo yetu.
KabisaJembe ulaya
Hayo mashavu ndio ya kubebea mimba?Nyimbo ya zuchu ndiyo inawasaidiaje WANANCHI?
Kwani humuoni?Acha majungu
Hivyo kabla ya Ndege nchi yenu ilikua haina alama?CCM akili zenu zawatosha wenyenu ndege itengenezwe Ulaya iwe nembo ya taifa lako wewe Waafrika tuna akili pasonolmim ni Cdm ila kwa hil nakupinga.ndege ndio alama na nembo yetu.
Dah kweli Chakubanga anakula hela za CCM kindezimim ni Cdm ila kwa hil nakupinga.ndege ndio alama na nembo yetu.
Kujitutumua tu nani anamtaka huyo mchoma nyavu halali tulimpa angoze siomabavu nakutupora twendeni nalisu amekwishasema anatulipaJembe hilo...
A Trillion Dollar Assessment of our beloved President!Akate tu viuno ndio alicho bakiwa nacho. Maana vingine vyote hana.
Sera hana, mvuto hana. Akili pia hana, Watu nao hana, mpaka awanunue.. Mwache ajikatie tamaa..
Ni Rais atumie akili asipende kujionyesha kwa wanyonge kwa misururu mirefu ya magari anapoingia mjini kwenye watu wengi na magari ya shughuli mengi. Msafara wake ukikaribia jiji, ahamie kwenye Chopa impeleke mpaka kwenye jiwe lake Ikulu magari mia ya msafara wake yaingie jijini polepole kila moja kwa wakati wake. Wakazi watajua tu Rais amerudi maana toka Uhuru, ni misafara yake pekee yenye Chopa.Nini kifanyike?