Zuhura Othman Soud (born 22 November 1993) best known as Zuchu, Is A Tanzanian Musician, Songwritter and performer signed By Diamond Platnumz music label 'WCB Wasafi' (also known as Wasafi Classic Baby)
Zuchu is the daughter of the Tanzanian legendary taarab musician Khadija Kopa.
Zuchu is undeniably the most promising artist from Tanzania having topping the African chart on different platforms with her debut track "Wana"
She first rose into the music scene in 2015 from the first edition of TECNO OWN THE STAGE in Lagos, Nigeria
Nilivumilia sana kutoipost hii habari lakini mmmmmh hapana kwa kweli acha tu niseme 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Haihitaji uwe na degree au masters kujua kile kichambo cha Zuchu kilikuwa kinamlenga mama dangote.
Kwanza chaguzi tu ya wimbo na namna alivyoimba kihisia ni jibu tosha kwamba lile dongo lilikuwa la...
Dada wa mwanamuziki Diamond Platnumz, Esma Khan (Esma Platnumz), amefunguka kuhusu tabia ya msanii Zuchu pale anapokuwa na tofauti au migogoro ya kimapenzi na kaka yake, Diamond Platnumz.
Akizungumza kuhusu mahusiano ya wawili hao na jinsi yanavyoathiri watu wa karibu, Esma ameeleza kuwa Zuchu...
Tiffah Dangote, alipata fursa ya kutoa pongezi na kueleza furaha yake kubwa ya kupata mdogo wa kike baada ya kusubiri kwa muda mrefu.
"Congratulations on the baby. Now I have a baby sister, it's been like a long time I wanted them. And I'm gonna play with her like all the time and I'll take...
Katika ulimwengu wa mitandao ya kijamii, watoto wa staa wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, wamekuwa wakivuta hisia za mashabiki wengi pindi tu wanapozaliwa.
Awamu hii, mtoto wa msanii huyo aliyezaa na msanii mwenzake wa WCB Wasafi, Zuchu, aitwaye Sandrah Naseeb, ameingia kwenye vichwa vya habari...
Mtoto wa wasanii nguli wa muziki nchini, Diamond Platnumz na Zuchu, ametangazwa rasmi kuwa balozi mpya wa kampuni ya GSM.
Chapa ya GSM Beverages, imetangaza kumpa ubalozi mtoto wa Zuchu na Diamond Platnumz, Sandrah katika sherehe ya mtoto huyo.
Wasanii Diamond Platnumz na Zuchu, wamezidi kuvuta hisia za mashabiki wao kufuatia hatua yao ya hivi karibuni ya kuchapisha picha mpya za mtoto wao wa kike, Sandrah Nasibu Issac.
Tofauti na awali ambapo walikuwa wakitumia emoji kuficha kabisa sura yake kwenye mitandao ya kijamii, picha za hivi...
"huyu zuchu kajifungua Kwa Upasuaji kama Wema, Leo hii anakata mauno na watu hawaulizi kuhusu mshono, ila Kwa Wema kipindi kile kucheza tu na kupokea Wageni watu walikuwa wakiongea sana mara oooh hakuna aliye jifungua hapo, mara kaiba Mtoto.
Leo niwaulize kwanini Kwa Zuchu hamuongei, hivi Wema...
Tukio la Zuchu na Gigy Money kuonekana pamoja kwenye usiku wa hina limezua gumzo kubwa kwenye ulimwengu wa burudani na kuacha wengi wakiwa na mshangao.
Kauli ya Mashalove kuwa wawili hao wasingeweza kamwe kukaa meza moja imegonga mwamba, kwani picha na video zinazowaonyesha wakiwa na furaha na...
Mrembo Priscilla, ambaye pia ni mke wa mwanamuziki maarufu nchini Juma Jux, ameonekana akicheza Kibao Kata. Tukio hilo lilijiri kwenye sherehe ya Usiku wa Hina iliyoandaliwa na msanii Zuchu, sherehe iliyokusanya safu ndefu ya wasanii, staa na watu maarufu wa tasnia ya burudani nchini Tanzania...
Baada ya kuwepo kwa kampeni na gumzo kubwa mtandaoni la "Free Juma Jux", msanii nguli wa muziki wa Afro-R&B nchini, Juma Jux, hatimaye amerejea nchini Tanzania.
Urejeo wa msanii huyo umeibua msisimko mkubwa miongoni mwa mashabiki, hasa baada ya kuonekana akihudhuria usiku wa Henna wa msanii...
Hivi ndivyo staa wa muziki wa bongo Fleva Nandy alivyopita na mdundo wa Kibao kata katika usiku wa Hinna huko madale ikiwa ni sehemu ya sherehe kuelekea 40 ya mtoto wa Zuchu na Diamond.
Hapa uzungu umewekwa pembeni kidogo na jasiri akaamua kuifata njia ya asili yake.
Katika kuonyesha mshikamano na kuvunja uvumi wa mara kwa mara kuhusu uhusiano wao, mama mzazi wa msanii Diamond Platnumz, Sanura Kasimu (Mama Dangote), pamoja na malkia wa Taarab Khadija Kopa na binti yake Zuchu, waliteka hisia za waalikwa baada ya kujumuika na kucheza kwa furaha ya pamoja...
Baada ya mastaa wa Bongo, Wema Sepetu, Zuchu, Maua Sama kupata watoto hivi karibuni, mwimbaji wa Marekani, Ciara (40) na mumewe Russell Wilson wanatarajia mtoto mwingine, ikiwa ni mtoto wa tano kwa mwimbaji huyo na wa nne katika ndoa yao.
Ciara ametangaza habari hizi njema siku ya jana Jumapili...
Zuchu ameweka wazi kuwa katika kipindi cha ujauzito wake alikuwa hampendi mume wake Diamond Platnumz kiasi kwamba hata akiwa amelala anatamani hata ampige kibao.
Kupitia ukurasa wake wa Snapchat amepost video hii na kuandika "I hated him nilikua simpendi hapo kama nimtie kofi"
Soma pia: Zuchu...
Tungekuwa na Taasisi imara za kupambana na Uhujumu Uchumi na Utakatishaji fedha, basi Diamond na Mke wake wangekuwa washahojiwa. Japo waelezee waloleta hela wana uhusiano gani.
Wasanii wa bongo wanashiriki kutakatisha fedha.. Kwenye Kitchen party, Harusi(zinazovunjika baada miezi kadhaa)...
"Aah... hawa nao si wazime hizo camera sasa."
"Kwani wao ndiyo wamezaa peke yao?"
"Sawa tumeelewa, mtoto kazaliwa... sasa ndo kila saa?"
"kuna watu wanachezea hela."
"sijui niwa unfollow hawa waanafamilia ya wasafi kwanza, pressure za bure hizi."
"kwamba mtoto wao ndo ana thamani sanaaaa
"Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.