Kinana na Zitto wahenyeshana Uchaguzi mdogo Mbarali. Kesho Septemba 19 kuamua ni ACT-Wazalendo au CCM

Jabali la Siasa

JF-Expert Member
Jul 10, 2020
2,545
2,175
Kazi inaendelea vizuri,

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Mbarali kufuatia kifo cha Mbunge Marehemu Francis Mtega (CCM) pamoja na Kata 6 za Tanzania Bara utakaofanyika kesho tarehe 19 Septemba mwaka 2023.

Kwa mujibu wa NEC kata zitakazofanya uchaguzi mdogo hiyo kesho ni; Nala iliyopo Halmashauri ya Jiji la Dodoma, mkoani Dodoma, Mwaniko iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, Old Moshi Magharibi iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Moshi na Marangu Kitowo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, Mtyangimbole iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Madaba na Mfaranyaki iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma.

Pia, Kwamujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi huo Bw Misana Kwangura Wagombea walioteliwa na vyama vyao ni 13 ambao ni Halima Abdalah Magambo (AAFP), Osward Joseph Mndeva (DP), Zavely Raurent Seleleka (UDP), Exavery Town Mwataga (CCK), Morris Thomas Nkongolo (TLP) na Modestus Dickson Kilufi (ACT Wazalendo).

Wengine ni Mary Moses Daudi (UPDP), Fatuma Rashidi Ligania (NLD), Bahati Keneth Ndingo (CCM), Bariki Oswald Mwanyalu (Demokrasia Makini), Hashim Abasi Mdemu (ADC), Mwajuma Noty Mirambo (UMD), na Husseni Hasani Lusewa kutoka Chama cha ADA- TADEA.
IMG-20230918-WA0003.jpg

Chama cha Mapinduzi CCM kitahitimisha kampeni zake hii leo Katika Viwanja vya Stendi Mpya kata ya Chimala chini ya Makamu Mwenyekiti wake Crde Kanali Mstaafu AbdulRahman Kinana,
IMG-20230917-WA0008.jpg

Kinana aliyepiga kambi Mbarali ili kuhakikisha CCM inapata ushindi mnono katika mikutano yake mbalimbali amewataka Wananchi wa Mbarali wasipoteze kura zao bali wampigie Mgombea wa CCM Crde Bahati Kenneth Ngingo mwanamama mzuri wa sura na vitendo ili akashirikiane na mwanamama mwenzake Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ili kuifanya Mbarali kuzidi kuwa kitovu cha uzalishaji na usamabazaji wa Mchele Tanzania.
IMG-20230917-WA0011.jpg

Upinza mkali ni kati ya CCM na chama kikuu cha Upinzani nchini cha ACT-Wazalendo.
IMG-20230917-WA0009.jpg


Stay tuned,
 
Nipo maeneo ya Ubaruku huku msema kweli mpenzi wa Mungu kama alitatumika goli la mkono Kilufi(ACT) Wanashinda maana toka CCM watangaze na kuwatoa Wakulima kwenye maeneo waliokuwa wanalima na kuwakabidhi wawekezaji na mengine kusema ya hifadhi basi huku watu wanakichukia chama kwelikweli

Yangu macho ngoja tuone kesho itakuwaje ila huko vijijini hali ya CCM ni mbaya kwelikweli
 
Nipo maeneo ya Ubaruku huku msema kweli mpenzi wa Mungu kama alitatumika goli la mkono Kilufi(ACT) Wanashinda maana toka CCM watangaze na kuwatoa Wakulima kwenye maeneo waliokuwa wanalima na kuwakabidhi wawekezaji na mengine kusema ya hifadhi basi huku watu wanakichukia chama kwelikweli

Yangu macho ngoja tuone kesho itakuwaje ila huko vijijini hali ya CCM ni mbaya kwelikweli
IMG-20230917-WA0006.jpg

Hii ni Ubaruku tazama
 
Kazi inaendelea vizuri,

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Mbarali kufuatia kifo cha Mbunge Marehemu Francis Mtega (CCM) pamoja na Kata 6 za Tanzania Bara utakaofanyika kesho tarehe 19 Septemba mwaka 2023.

Kwa mujibu wa NEC kata zitakazofanya uchaguzi mdogo hiyo kesho ni; Nala iliyopo Halmashauri ya Jiji la Dodoma, mkoani Dodoma, Mwaniko iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, Old Moshi Magharibi iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Moshi na Marangu Kitowo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, Mtyangimbole iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Madaba na Mfaranyaki iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma.

Pia, Kwamujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi huo Bw Misana Kwangura Wagombea walioteliwa na vyama vyao ni 13 ambao ni Halima Abdalah Magambo (AAFP), Osward Joseph Mndeva (DP), Zavely Raurent Seleleka (UDP), Exavery Town Mwataga (CCK), Morris Thomas Nkongolo (TLP) na Modestus Dickson Kilufi (ACT Wazalendo).

Wengine ni Mary Moses Daudi (UPDP), Fatuma Rashidi Ligania (NLD), Bahati Keneth Ndingo (CCM), Bariki Oswald Mwanyalu (Demokrasia Makini), Hashim Abasi Mdemu (ADC), Mwajuma Noty Mirambo (UMD), na Husseni Hasani Lusewa kutoka Chama cha ADA- TADEA.
View attachment 2753164
Chama cha Mapinduzi CCM kitahitimisha kampeni zake hii leo Katika Viwanja vya Stendi Mpya kata ya Rujewa chini ya Makamu Mwenyekiti wake Crde Kanali Mstaafu AbdulRahman Kinana,
View attachment 2753165
Kinana aliyepiga kambi Mbarali ili kuhakikisha CCM inapata ushindi mnono katika mikutano yake mbalimbali amewataka Wananchi wa Mbarali wasipoteze kura zao bali wampigie Mgombea wa CCM Crde Bahati Kenneth Ngingo mwanamama mzuri wa sura na vitendo ili akashirikiane na mwanamama mwenzake Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ili kuifanya Mbarali kuzidi kuwa kitovu cha uzalishaji na usamabazaji wa Mchele Tanzania.
View attachment 2753166
Upinza mkali ni kati ya CCM na chama kikuu cha Upinzani nchini cha ACT-Wazalendo.
View attachment 2753168

Stay tuned,
Punguza unafiki hakuna mchuano mkali hapo. Uchaguzi bila CHADEMA ni sawa na zero
 
Kazi inaendelea vizuri,

Tume ya Taifa ya Uchaguzi ilitangaza Uchaguzi Mdogo wa Ubunge Jimbo la Mbarali kufuatia kifo cha Mbunge Marehemu Francis Mtega (CCM) pamoja na Kata 6 za Tanzania Bara utakaofanyika kesho tarehe 19 Septemba mwaka 2023.

Kwa mujibu wa NEC kata zitakazofanya uchaguzi mdogo hiyo kesho ni; Nala iliyopo Halmashauri ya Jiji la Dodoma, mkoani Dodoma, Mwaniko iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Misungwi, mkoani Mwanza, Old Moshi Magharibi iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Moshi na Marangu Kitowo iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Rombo, mkoani Kilimanjaro, Mtyangimbole iliyopo Halmashauri ya Wilaya ya Madaba na Mfaranyaki iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Songea, mkoani Ruvuma.

Pia, Kwamujibu wa Msimamizi wa Uchaguzi huo Bw Misana Kwangura Wagombea walioteliwa na vyama vyao ni 13 ambao ni Halima Abdalah Magambo (AAFP), Osward Joseph Mndeva (DP), Zavely Raurent Seleleka (UDP), Exavery Town Mwataga (CCK), Morris Thomas Nkongolo (TLP) na Modestus Dickson Kilufi (ACT Wazalendo).

Wengine ni Mary Moses Daudi (UPDP), Fatuma Rashidi Ligania (NLD), Bahati Keneth Ndingo (CCM), Bariki Oswald Mwanyalu (Demokrasia Makini), Hashim Abasi Mdemu (ADC), Mwajuma Noty Mirambo (UMD), na Husseni Hasani Lusewa kutoka Chama cha ADA- TADEA.
View attachment 2753164
Chama cha Mapinduzi CCM kitahitimisha kampeni zake hii leo Katika Viwanja vya Stendi Mpya kata ya Rujewa chini ya Makamu Mwenyekiti wake Crde Kanali Mstaafu AbdulRahman Kinana,
View attachment 2753165
Kinana aliyepiga kambi Mbarali ili kuhakikisha CCM inapata ushindi mnono katika mikutano yake mbalimbali amewataka Wananchi wa Mbarali wasipoteze kura zao bali wampigie Mgombea wa CCM Crde Bahati Kenneth Ngingo mwanamama mzuri wa sura na vitendo ili akashirikiane na mwanamama mwenzake Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ili kuifanya Mbarali kuzidi kuwa kitovu cha uzalishaji na usamabazaji wa Mchele Tanzania.
View attachment 2753166
Upinza mkali ni kati ya CCM na chama kikuu cha Upinzani nchini cha ACT-Wazalendo.
View attachment 2753168

Stay tuned,
nyie, kuna watu wanaumia wakiona hivi, hadi shape za mioyo yao inabadilika inakua katika umbo la D acheni tu........
 
Nipo maeneo ya Ubaruku huku msema kweli mpenzi wa Mungu kama alitatumika goli la mkono Kilufi(ACT) Wanashinda maana toka CCM watangaze na kuwatoa Wakulima kwenye maeneo waliokuwa wanalima na kuwakabidhi wawekezaji na mengine kusema ya hifadhi basi huku watu wanakichukia chama kwelikweli

Yangu macho ngoja tuone kesho itakuwaje ila huko vijijini hali ya CCM ni mbaya kwelikweli
Bora ACT ishinde kuliko hao CCM.
 
Back
Top Bottom