Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Raisi wa Colombia si alisema Venezuela ikivamiwa atatuma jeshi la Colombia kusaidia. Vipi huko ?


Ama kweli usije kuamini maneno ya mtu kuwa atakusaidia
 
USA anatumia ubabe kutaka kuchukua mafuta bure huko Venezuela na Iran utajiri wao ni wa kuua raia wengine ili wao waishi njema sio.

Wapo karibu sana na maandamano ya Iran kwa sababu ya mafuta.
Mafuta bure?? Endelea kujifariji tu!!!
 
Mkuu, huyu Maduro na chama chake cha United Socialist Party ni wahuni wakubwa sana.

1. Toka 2013 amewafunga wapinzani na wengine amewapoteza kwa mamia.

2. Bunge la Venezuela ni kama bunge la Tz tu. Jamaa amedhibiti bunge na mahakama completely.

3. Ukiongoza nchi kwa namna hii, unauwa wapinzani hovyo, hujali lolote kwasababu una jeshi lazima wapinzani watatafuta namna yakupambana hata kama kwakushirikiana na nchi za nje.

4. Serikali ya Maduro ni corrupt vibaya sana, hela za mafuta zote zinaliwa na familia yake na watu wakaribu. Same story kinachoendelea hapa Tz.
Kwa hiyo Maduro na Samia hawana tofauti? Kama ni hivyo basi wamarekani wamtandike na kumtoa madarakani.

Likewise, Samia has to be ousted, ukiuwa watu wako kwa upanga you don't deserve to lead them.
 
Nchi iko uchi, nadhani kama wataivamia nchi kama Tanzania wakitaka kufanya yao ni masaa kadhaa wapo chamwino/magogoni.
Tanzania wanapiga ngerengere, mwanza, Monduli, Upanga, Chamwino, Kigamboni, Twalipo, Gongolamboto
Kazi inakuwa imeisha
 
Back
Top Bottom