Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Rais wa nchi anachukuliwa ndani ya masaa manne?
Hapo ndo Putin na Urusi wanaonekana wajinga. Kila siku Zelensky anazurura ila hawajamuweza.
Marekani nimewanyooshea mikono
Sijui wangapi wameuliwa hadi kukamatwa
 
Inatisha. Ukiiona movies za CIA,Navy Seal unaona kama wanajikuza sana ila jamaa wako mbali sana.

Hii naisubiri Netflix najua itatoka in details.
Lile Tangazo la Trump kuwa kawaruhusu CIA wafanye kazi ya kumkamata Maduro, binafsi niliona ni maigizo ya Trump ila nimewaogopa Wamarekani kabisa
 
Lile Tangazo la Trump kuwa kawaruhusu CIA wafanye kazi ya kumkamata Maduro, binafsi niliona ni maigizo ya Trump ila nimewaogopa Wamarekani kabisa
Wiki yote hii naangalia series HOMELAND kwenye Netflix kuna vitu humu naona najiambiq hawa jamaa mbonawanajikuza hivi. Leo wamenithinitishia wao ni nani.
 
Inatisha. Ukiiona movies za CIA,Navy Seal unaona kama wanajikuza sana ila jamaa wako mbali sana.

Hii naisubiri Netflix najua itatoka in details.
Hapa najua makampuni ya filamu za kivita za kimarekani wataanza kupigania tenda za kuandaa filamu ya hili tukio, tusishangae mwisho wa mwaka huu mzigo ukawa sokoni
 
Back
Top Bottom