Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Hili kaburi ulilofukua ni zito sana, anaweza kutokea chawa likamuuma, kisha akajipa jukumu la kukutoa uhai,

Siku hizi kumwua mtoa maoni tofauti na watawala imekuwa rahisi na jambo la kawaida sana,
Anatupata wapi sasa.
FB_IMG_1767249670531.jpg
 
USA anatumia ubabe kutaka kuchukua mafuta bure huko Venezuela na Iran utajiri wao ni wa kuua raia wengine ili wao waishi njema sio.

Wapo karibu sana na maandamano ya Iran kwa sababu ya mafuta.
Mkuu, huyu Maduro na chama chake cha United Socialist Party ni wahuni wakubwa sana.

1. Toka 2013 amewafunga wapinzani na wengine amewapoteza kwa mamia.

2. Bunge la Venezuela ni kama bunge la Tz tu. Jamaa amedhibiti bunge na mahakama completely.

3. Ukiongoza nchi kwa namna hii, unauwa wapinzani hovyo, hujali lolote kwasababu una jeshi lazima wapinzani watatafuta namna yakupambana hata kama kwakushirikiana na nchi za nje.

4. Serikali ya Maduro ni corrupt vibaya sana, hela za mafuta zote zinaliwa na familia yake na watu wakaribu. Same story kinachoendelea hapa Tz.
 
Mkuu, huyu Maduro na chama chake cha United Socialist Party ni wahuni wakubwa sana.

1. Toka 2013 amewafunga wapinzani na wengine amewapoteza kwa mamia.

2. Bunge la Venezuela ni kama bunge la Tz tu. Jamaa amedhibiti bunge na mahakama completely.

3. Ukiongoza nchi kwa namna hii, unauwa wapinzani hovyo, hujali lolote kwasababu una jeshi lazima wapinzani watatafuta namna yakupambana hata kama kwakushirikiana na nchi za nje.

4. Serikali ya Maduro ni corrupt vibaya sana, hela za mafuta zote zinaliwa na familia yake na watu wakaribu. Same story kinachoendelea hapa Tz.
Tazama haka kajinga
 
Back
Top Bottom