Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Wiki yote hii naangalia series HOMELAND kwenye Netflix kuna vitu humu naona najiambiq hawa jamaa mbonawanajikuza hivi. Leo wamenithinitishia wao ni nani.
Nafikiri wale tuliozoea kuwabeza jamaa wamefunga mdomo. utasikia mnadangaywa na hollywood haya kiko wapi sasa
 
USA ina mafuta mengi sana sidhani kama shida yao ni mafuta
Trump anasema wataiongoza Venezuela mpaka watakapofanya uchaguzi na makampuni ya USA yataenda kuchimba mafuta wewe unasema USA wana mafuta mengi mkuu
 
Back
Top Bottom