Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 21,756
- 44,570
Aisee kukosea kuandika mtu anatukanwa kuwa ana tatizo la akili sio..Unatatizo la AKILI soma heading na ulichoandika
Aisee kukosea kuandika mtu anatukanwa kuwa ana tatizo la akili sio..Unatatizo la AKILI soma heading na ulichoandika
Trump anasema wataiongoza Venezuela mpaka watakapofanya uchaguzi na makampuni ya USA yataenda kuchimba mafuta wewe unasema USA wana mafuta mengi mkuuUSA ina mafuta mengi sana sidhani kama shida yao ni mafuta
Bora hiyo , Mimi humu mnaniambiaga mleviAisee kukosea kuandika mtu anatukanwa kuwa ana tatizo la akili sio..
Mlevi ni mlipakodi mkubwa mkuu maana unatumia vitu vyenye nembo ya TRABora hiyo , Mimi humu mnaniambiaga mlevi