Kweli mkuu, hata hapa kwetu CCM wameamua kunyonya nchi na kuibagaza wanavyojisikia, huku wanaimba wimbo wa uzalendo fekiKuna faida gani kuwa taifa lenye nguvu kama haunyonyi wanyonge?
Mafuta,si ulimsikia Trump alisema Venezuela warudishe mafuta yaoDu badala ya kutafuta amani,wanaanzisha vita.
Mkuu unaweza kuwa upo sahihi ila USA wanaongoza kwa Propaganda wakihitaji kitu Nchi yeyote.Mkuu, huyu Maduro na chama chake cha United Socialist Party ni wahuni wakubwa sana.
1. Toka 2013 amewafunga wapinzani na wengine amewapoteza kwa mamia.
2. Bunge la Venezuela ni kama bunge la Tz tu. Jamaa amedhibiti bunge na mahakama completely.
3. Ukiongoza nchi kwa namna hii, unauwa wapinzani hovyo, hujali lolote kwasababu una jeshi lazima wapinzani watatafuta namna yakupambana hata kama kwakushirikiana na nchi za nje.
4. Serikali ya Maduro ni corrupt vibaya sana, hela za mafuta zote zinaliwa na familia yake na watu wakaribu. Same story kinachoendelea hapa Tz.
Mkuu unaweza kuwa upo sahihi ila USA wanaongoza kwa Propaganda wakihitaji kitu Nchi yeyote.Mkuu, huyu Maduro na chama chake cha United Socialist Party ni wahuni wakubwa sana.
1. Toka 2013 amewafunga wapinzani na wengine amewapoteza kwa mamia.
2. Bunge la Venezuela ni kama bunge la Tz tu. Jamaa amedhibiti bunge na mahakama completely.
3. Ukiongoza nchi kwa namna hii, unauwa wapinzani hovyo, hujali lolote kwasababu una jeshi lazima wapinzani watatafuta namna yakupambana hata kama kwakushirikiana na nchi za nje.
4. Serikali ya Maduro ni corrupt vibaya sana, hela za mafuta zote zinaliwa na familia yake na watu wakaribu. Same story kinachoendelea hapa Tz.
Watamuachia kichaa Israel awaue wale viongozi, viongozi wakuu wakiondolewa tu basi.
Ni kama alivyofanya kwa Houthis aliua serikali yote, hadi leo hawajarusha kombora
Weka sourcesImethibitika jeshi la Marekani liko linapambana na walinzi wa Rais katika Ikulu ya Venezuela
Inaonekana Maduro atamkatalia Trump kuachia urais na kuondoka Venezuela kama Zelensky alimvyomkatalia Putin kuachia urais na kuondoka Ukraine. Tofauti ni kwamba Zelensky alichaguliwa kwa uchaguzi huru na raia wengi wakati Maduro ni mwizi wa uchaguzi anayeng'ang'ania madarakani baada ya kukataliwa na raia katika box la kura.Kuondoa Uongozi ndo jambo la maana, tofauti na hapo ni kujitekenya tu
Weka sourcesOhoo wanajeshi wa Marekani wamepigwa balaa huko
Bila kupambana hivyo hatoboiAiseee kweli duniani hakuna anayejua vita kama Marekani
Mkuu, huyu Maduro na chama chake cha United Socialist Party ni wahuni wakubwa sana.
1. Toka 2013 amewafunga wapinzani na wengine amewapoteza kwa mamia.
2. Bunge la Venezuela ni kama bunge la Tz tu. Jamaa amedhibiti bunge na mahakama completely.
3. Ukiongoza nchi kwa namna hii, unauwa wapinzani hovyo, hujali lolote kwasababu una jeshi lazima wapinzani watatafuta namna yakupambana hata kama kwakushirikiana na nchi za nje.
4. Serikali ya Maduro ni corrupt vibaya sana, hela za mafuta zote zinaliwa na familia yake na watu wakaribu. Same story kinachoendelea hapa Tz.
Trump anafanya kama Putin alivyofanya Ukraine.Mkuu unaweza kuwa upo sahihi ila USA wanaongoza kwa Propaganda wakihitaji kitu Nchi yeyote.
Walianza Iran wakaja Iraq wakaenda kwa Gadhafi leo hii wapo kwa Maduro Nchi nyingi zenye rasilimali USA anaingilia kati kwa migogoro ya moja kwa moja au kwa siri yeye ndio mnufaika uliona wapi Nchi inapokonya Meli ya mzigo wa mafuta yao na kuwapa kesi ya madawa ya kulevya yaani Venezuela ni wasambazaji na wauzaji wa Madawa zaidi ya Colombia mbona huko hatii mguu na yule Rais wa Colombia na Trump ni paka na panya.
Maduro ataondolewa sababu Tayari wanajeshi wako mji mkuu, ni tofauti sana na Ukraine wanajeshi wa Urusi hawakufanikiwa fika mji mkuuInaonekana Maduro atamkatalia Trump kuachia urais na kuondoka Venezuela kama Zelensky alimvyomkatalia Putin kuachia urais na kuondoka Ukraine. Tofauti ni kwamba Zelensky alichaguliwa kwa uchaguzi huru na raia wengi wakati Maduro ni mwizi wa uchaguzi anayeng'ang'ania madarakani baada ya kukataliwa na raia katika box la kura.
Na lengo la Israel ni kuua Ayatollah na Rais waoYaani niliumia sana HOUTHIS kwisha habari yetu. Jamaa walituchakaza sana Iran nayo imekosa kabisa nguvu inatema tema mate tu kama mama mjamzito. Hawa Israel nimewashindwa kabisa...
Ila kawasaidia Nigeria maana toka pale wale jamaa hawajachinga wala kuonekana tenaBila kupambana hivyo hatoboi
Alisema anataka amani
Alipokosa Tuzo akaona kachelewa sana
Sasa anapiga mpaka Africa