Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Mkuu, huyu Maduro na chama chake cha United Socialist Party ni wahuni wakubwa sana.

1. Toka 2013 amewafunga wapinzani na wengine amewapoteza kwa mamia.

2. Bunge la Venezuela ni kama bunge la Tz tu. Jamaa amedhibiti bunge na mahakama completely.

3. Ukiongoza nchi kwa namna hii, unauwa wapinzani hovyo, hujali lolote kwasababu una jeshi lazima wapinzani watatafuta namna yakupambana hata kama kwakushirikiana na nchi za nje.

4. Serikali ya Maduro ni corrupt vibaya sana, hela za mafuta zote zinaliwa na familia yake na watu wakaribu. Same story kinachoendelea hapa Tz.
Mkuu unaweza kuwa upo sahihi ila USA wanaongoza kwa Propaganda wakihitaji kitu Nchi yeyote.
Walianza Iran wakaja Iraq wakaenda kwa Gadhafi leo hii wapo kwa Maduro Nchi nyingi zenye rasilimali USA anaingilia kati kwa migogoro ya moja kwa moja au kwa siri yeye ndio mnufaika uliona wapi Nchi inapokonya Meli ya mzigo wa mafuta yao na kuwapa kesi ya madawa ya kulevya yaani Venezuela ni wasambazaji na wauzaji wa Madawa zaidi ya Colombia mbona huko hatii mguu na yule Rais wa Colombia na Trump ni paka na panya.
 
Mkuu, huyu Maduro na chama chake cha United Socialist Party ni wahuni wakubwa sana.

1. Toka 2013 amewafunga wapinzani na wengine amewapoteza kwa mamia.

2. Bunge la Venezuela ni kama bunge la Tz tu. Jamaa amedhibiti bunge na mahakama completely.

3. Ukiongoza nchi kwa namna hii, unauwa wapinzani hovyo, hujali lolote kwasababu una jeshi lazima wapinzani watatafuta namna yakupambana hata kama kwakushirikiana na nchi za nje.

4. Serikali ya Maduro ni corrupt vibaya sana, hela za mafuta zote zinaliwa na familia yake na watu wakaribu. Same story kinachoendelea hapa Tz.
Mkuu unaweza kuwa upo sahihi ila USA wanaongoza kwa Propaganda wakihitaji kitu Nchi yeyote.
Walianza Iran wakaja Iraq wakaenda kwa Gadhafi leo hii wapo kwa Maduro Nchi nyingi zenye rasilimali USA anaingilia kati kwa migogoro ya moja kwa moja au kwa siri yeye ndio mnufaika uliona wapi Nchi inapokonya Meli ya mzigo wa mafuta yao na kuwapa kesi ya madawa ya kulevya yaani Venezuela ni wasambazaji na wauzaji wa Madawa zaidi ya Colombia mbona huko hatii mguu na yule Rais wa Colombia na Trump ni paka na panya.
 
Watamuachia kichaa Israel awaue wale viongozi, viongozi wakuu wakiondolewa tu basi.
Ni kama alivyofanya kwa Houthis aliua serikali yote, hadi leo hawajarusha kombora

Yaani niliumia sana HOUTHIS kwisha habari yetu. Jamaa walituchakaza sana Iran nayo imekosa kabisa nguvu inatema tema mate tu kama mama mjamzito. Hawa Israel nimewashindwa kabisa...
 
Kuondoa Uongozi ndo jambo la maana, tofauti na hapo ni kujitekenya tu
Inaonekana Maduro atamkatalia Trump kuachia urais na kuondoka Venezuela kama Zelensky alimvyomkatalia Putin kuachia urais na kuondoka Ukraine. Tofauti ni kwamba Zelensky alichaguliwa kwa uchaguzi huru na raia wengi wakati Maduro ni mwizi wa uchaguzi anayeng'ang'ania madarakani baada ya kukataliwa na raia katika box la kura.
 
Mkuu, huyu Maduro na chama chake cha United Socialist Party ni wahuni wakubwa sana.

1. Toka 2013 amewafunga wapinzani na wengine amewapoteza kwa mamia.

2. Bunge la Venezuela ni kama bunge la Tz tu. Jamaa amedhibiti bunge na mahakama completely.

3. Ukiongoza nchi kwa namna hii, unauwa wapinzani hovyo, hujali lolote kwasababu una jeshi lazima wapinzani watatafuta namna yakupambana hata kama kwakushirikiana na nchi za nje.

4. Serikali ya Maduro ni corrupt vibaya sana, hela za mafuta zote zinaliwa na familia yake na watu wakaribu. Same story kinachoendelea hapa Tz.

Waje na huku jamani. Waiokoe nchi
 
Mkuu unaweza kuwa upo sahihi ila USA wanaongoza kwa Propaganda wakihitaji kitu Nchi yeyote.
Walianza Iran wakaja Iraq wakaenda kwa Gadhafi leo hii wapo kwa Maduro Nchi nyingi zenye rasilimali USA anaingilia kati kwa migogoro ya moja kwa moja au kwa siri yeye ndio mnufaika uliona wapi Nchi inapokonya Meli ya mzigo wa mafuta yao na kuwapa kesi ya madawa ya kulevya yaani Venezuela ni wasambazaji na wauzaji wa Madawa zaidi ya Colombia mbona huko hatii mguu na yule Rais wa Colombia na Trump ni paka na panya.
Trump anafanya kama Putin alivyofanya Ukraine.
 
Inaonekana Maduro atamkatalia Trump kuachia urais na kuondoka Venezuela kama Zelensky alimvyomkatalia Putin kuachia urais na kuondoka Ukraine. Tofauti ni kwamba Zelensky alichaguliwa kwa uchaguzi huru na raia wengi wakati Maduro ni mwizi wa uchaguzi anayeng'ang'ania madarakani baada ya kukataliwa na raia katika box la kura.
Maduro ataondolewa sababu Tayari wanajeshi wako mji mkuu, ni tofauti sana na Ukraine wanajeshi wa Urusi hawakufanikiwa fika mji mkuu
 
Yaani niliumia sana HOUTHIS kwisha habari yetu. Jamaa walituchakaza sana Iran nayo imekosa kabisa nguvu inatema tema mate tu kama mama mjamzito. Hawa Israel nimewashindwa kabisa...
Na lengo la Israel ni kuua Ayatollah na Rais wao
 
Back
Top Bottom