Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Kama Venezuela kafanywa hivi kama hivi JWTZ itaweza
Uzuri wa hawa jamaa wakiamua wanalengq wahusika tu. Yaani akina sisi tutakuwa tunaangalia kwenye TV vyombo vikishuka hapo karibu na soko la samaki.
Sure, hawawezi kupoteza misile ya gharama kupiga kwa Mtogole au Buza kutuuwa watu maskini wa kutupwa tunaoishi kwa miguu na utumbo wa kuku
 
Magari na watu wengi sana mtaani. Inaonekana raia wanakimbia Caracas.
 
Angeweza ile 2022, kwa sasa Ukraine naye kajipanga haswa.
Ili jeshi letu liendelee linapaswa ajiri watu wenye akili, vita ya sasa si ya kuvunja matofali bali jinsi ya kukwepa FPV drones
Ukraine kwa sasa inasemekana ana wanajeshi 50,000 ambao wao ni drone operators
Kwetu hapa bado tunawaza vita vya kuviziana vichakani na RPG na SMG,

Bila kusahau kupiga raia wanaovaa nguo zinazofanana kidogo na sare zao
 
Marekani imerudia tena kwa mara nyingine imeanza lipua maeneo mbali mbali ndani ya Venezuela baada ya kusimama kwa zaidi ya saa 1
 
Marekani imerudia tena kwa mara nyingine imeanza lipua maeneo mbali mbali ndani ya Venezuela baada ya kusimama kwa zaidi ya saa 1
Washapata new intel
 
Wewe upo na sisi hapa kwa Mtogole au upo ughaibuni?
Nipo hapahapa na tabu ya maji imetupiga wote mwezi disemba, tumepikia maji chumvi sana. Sasa kwanini viongozi wanakwepa kutatua matatizo na kusingizia mabeberu,? Si bora tupigwe tu tujue moja.
 
Mkuu unaweza kuwa upo sahihi ila USA wanaongoza kwa Propaganda wakihitaji kitu Nchi yeyote.
Walianza Iran wakaja Iraq wakaenda kwa Gadhafi leo hii wapo kwa Maduro Nchi nyingi zenye rasilimali USA anaingilia kati kwa migogoro ya moja kwa moja au kwa siri yeye ndio mnufaika uliona wapi Nchi inapokonya Meli ya mzigo wa mafuta yao na kuwapa kesi ya madawa ya kulevya yaani Venezuela ni wasambazaji na wauzaji wa Madawa zaidi ya Colombia mbona huko hatii mguu na yule Rais wa Colombia na Trump ni paka na panya.
Ongea na raia wa Iran akupe ushuhuda acheni kuleta upumbavu.


Mnaipinga CCM tanzania ila yakitokea ya CCM nchi zingine mnaanza kuleta huruma.


Nakwambia Tena tafuta raia wa Iran akuchambulie issue za Iran tangu Nchi Yao ivamiwe na tawala za kiislam.

All in all utawala wa iran uliingia Kwa mapinduzi na wao wataondoka Kwa mapinduzi.
 
Makazi ya Waziri wa Ulinzi yashambuliwa na yeye na wasaidizi wake hawapatikani.
Haijulikani kama kafa au la
 
Back
Top Bottom