Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Naangalia news hapa za kukamatwa kwa maduro lakini pia kuna video za nyuma zikionesha alipokuwa anakagagua gwaride kwa gari maalum la.rais.

Sasa kinachonifurahisha ni jinsi hawa mabodigadi na vyombo vya usalama vilivyomzunguka na kumlinda uw nawaza wanakuwa wapi pale utawala unapoanguka na.kiongozi kunyakuliwa kama mwewe na beberu?
 
Ongea na raia wa Iran akupe ushuhuda acheni kuleta upumbavu.


Mnaipinga CCM tanzania ila yakitokea ya CCM nchi zingine mnaanza kuleta huruma.


Nakwambia Tena tafuta raia wa Iran akuchambulie issue za Iran tangu Nchi Yao ivamiwe na tawala za kiislam.

All in all utawala wa iran uliingia Kwa mapinduzi na wao wataondoka Kwa mapinduzi.
Utawala wa Iran uko kama wa ccm tu.
 
Russia anapata Moyo wa kuendelea kuishikilia Ukraine.Zele ajiandae soon atakuwa mikononi mwa Putin. Kwanza Zele bila mkono wa EU na NATO angekuwa mikononi Putin muda mrefu tu.
 
Russia anapata Moyo wa kuendelea kuishikilia Ukraine.Zele ajiandae soon atakuwa mikononi mwa Putin. Kwanza Zele bila mkono wa EU na NATO angekuwa mikononi Putin muda mrefu tu.
Russia hana time ya kumdaka kiongozi wa nchi,yeye anachukua maeneo yenye rare Earths na kilimo,anatulia,zelensky miaka mitatu kazeeka kama imepita miaka 15
 
Wiki ya Christmas niliona makamu wa Rais wa USA vence anafanya mazoezi na special force nikasema hawa wanajambo lao

democratic ndio huwa wanaiharibu USA hasa Obama yeye alikalia kueneza ushoga na kulegeza sera za uhamiaji had magaidi wakawa wanaingia usa
 
Wanaume wamefsnya yao,
Nikiangslia hawa jwtz wetu na vijana wa TISS,ni vituko vitupu, wanachojua ni kuvimbisha makalio, na vitambi,kupiga makonda, kukimbiza magari, kuivunja sheria za barabarani ili wawahi,na mikwara mbuzi, ukiwaona wanevaa ma balaclava, unaweza ukadhani ni watu "well trained" Kumbe, kichwani, academically ni zero, physically hawana hata matial art skills,
Marine, wamemchukua Rais madulo ndani ya ikulu yake,! Fikiria wakija kumfsta samia! Wale mabishoo wanaomlinda samia! Mishuzi itawatoka, hawana LA maana zaidi ya kuvaa suit, mikwara mingi, ila ndio vilaza watupu
 
Russia hana time ya kumdaka kiongozi wa nchi,yeye anachukua maeneo yenye rare Earths na kilimo,anatulia,zelensky miaka mitatu kazeeka kama imepita miaka 15
Zele ndiyo kizuizi au anachelewesha.Amechelewesha.
 
Back
Top Bottom