Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 12,593
- 35,853
Huyu mwanajeshi wa us sijui shoga mbona anarusha tako kama lokole
Na lengo la Israel ni kuua Ayatollah na Rais wao
Pale ndo alikosea maana Rais alikoswa koswa akavunjika mguuKipindi kile Trump aliwazuia ilikuwa wamwondoe Ayatollah
Iran walishashindwaKwa kweli Maduro kazingua bora angeondoka mapema tu.
Wakimalizana na huyu anafuata Iran
Ila Urusi ndo imesababisha leo Ukraine ana kiburi anapiga ndani kabisa hadi kuua makamanda ndani ya Moscow.Angekuwa deep leo hii Moscow ingekuwa inawaka moto na tupo kwenye WW3
Ndiyo zile Chinooks zimeshusha special forces, ndo maana Maduro kaagiza wananchi watoke wapambane na wanajeshi wa marenkaniKwamba USA has deployed troops on the ground?
Uongozi kaupata kwa wizi nani atoke amsaidie??Ndiyo zile Chinooks zimeshusha special forces, ndo maana Maduro kaagiza wananchi watoke wapambane na wanajeshi wa marenkani
Hadi sasa raia wamejifungia, wanajeshi wamekimbiaUongozi kaupata kwa wizi nani atoke amsaidie??
Mkuu kweli?Maduro kakimbia, watu wasiojulikana wanaelekea Ikulu huko Caracas
Hivi ina maana Venezuela wamekosa manpads kama zilizozuia Urusi kutua Kyiv?Naona choppers zinapita ndio hizo i guess