Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Wiki yote hii naangalia series HOMELAND kwenye Netflix kuna vitu humu naona najiambiq hawa jamaa mbonawanajikuza hivi. Leo wamenithinitishia wao ni nani.
Movie nyingi huonesha ambacho kinaweza fanyika.
Kuna mengi sana huwa hatujui hadi tuyaone ndo tunaamini

Mfano enzi hizo kwenye movie tunaona simu na tv za Touch
Flash
Drones
Driverless cars

Haya yote ymetokea
 
Hakuna jipya hapa mwanaJf, ni baba wa demokrasia "akisambaza" demokrasia yake nchini Venezuela kama alivyofanya Afghanistan, Iraq, Libya, Panama wakati wa akina Noriega kwa kutaja baadhi tu.
 
Wako wp washrika wake wa u communist na kibiashara akna urusi, china nk. Humu si mnasemaga mmbabe wa dunia ni urusi kiko wp sasa mbabe USA kaingia venezuela kamloa au kamdaba madulo kiulaaiini na hakuna nywinywi toka urusi wala china, huko iran sidhan kama huu mwezi utaisha marekani atakuwa kaweka utawala wake uko huyo naye ni mshrika wa urusi na china knachofata israel inaenda kuwa taifa babe sn hapo middle east.
 
Kwisha kazi.
20260103_124350.jpg
 
Back
Top Bottom