Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Wanaume wamefsnya yao,
Nikiangslia hawa jwtz wetu na vijana wa TISS,ni vituko vitupu, wanachojua ni kuvimbisha makalio, na vitambi,kupiga makonda, kukimbiza magari, kuivunja sheria za barabarani ili wawahi,na mikwara mbuzi, ukiwaona wanevaa ma balaclava, unaweza ukadhani ni watu "well trained" Kumbe, kichwani, academically ni zero, physically hawana hata matial art skills,
Marine, wamemchukua Rais madulo ndani ya ikulu yake,! Fikiria wakija kumfsta samia! Wale mabishoo wanaomlinda samia! Mishuzi itawatoka, hawana LA maana zaidi ya kuvaa suit, mikwara mingi, ila ndio vilaza watupu
Mkuu umeongea kwa uchubgu sana. Umenifanya nikumbuke drama za hawa watu baranarani.
 
20260103_142955.jpg
 
Mkuu umeongea kwa uchubgu sana. Umenifanya nikumbuke drama za hawa watu baranarani.
Delta Force wamefanya yao bila mambo mengi.
Wale jamaa wetu wanashinda barabarani wakisikia lazima wakimbie Ikulu
 
Delta Force wamefanya yao bila mambo mengi.
Wale jamaa wetu wanashinda barabarani wakisikia lazima wakimbie Ikulu
Hapo dollar zimetumika kulambisha wanausalama Venezuela
 

Attachments

  • IMG_20260103_132407_223.jpg
    IMG_20260103_132407_223.jpg
    20.7 KB · Views: 4
  • Screenshot_2026-01-03-13-25-21-969.jpg
    Screenshot_2026-01-03-13-25-21-969.jpg
    114 KB · Views: 5
Naangalia news hapa za kukamatwa kwa maduro lakini pia kuna video za nyuma zikionesha alipokuwa anakagagua gwaride kwa gari maalum la.rais.

Sasa kinachonifurahisha ni jinsi hawa mabodigadi na vyombo vya usalama vilivyomzunguka na kumlinda uw nawaza wanakuwa wapi pale utawala unapoanguka na.kiongozi kunyakuliwa kama mwewe na beberu?
Mabodigadi mikwara mingi, mambo yakiwa magumu hugeuka raia na kutimua mbio sana, wenye sare huziona nzito wanaona ni heri kubaki na boxa tu
 
Wanaume wamefsnya yao,
Nikiangslia hawa jwtz wetu na vijana wa TISS,ni vituko vitupu, wanachojua ni kuvimbisha makalio, na vitambi,kupiga makonda, kukimbiza magari, kuivunja sheria za barabarani ili wawahi,na mikwara mbuzi, ukiwaona wanevaa ma balaclava, unaweza ukadhani ni watu "well trained" Kumbe, kichwani, academically ni zero, physically hawana hata matial art skills,
Marine, wamemchukua Rais madulo ndani ya ikulu yake,! Fikiria wakija kumfsta samia! Wale mabishoo wanaomlinda samia! Mishuzi itawatoka, hawana LA maana zaidi ya kuvaa suit, mikwara mingi, ila ndio vilaza watupu
Jambo dogo Tu:Huwa wanaambiwa wakae pembeni wanapokuja wenye dunia yao na wanaendesha mambo kama kwao.
 
Mkuu umeongea kwa uchubgu sana. Umenifanya nikumbuke drama za hawa watu baranarani.
Hao jamaa ni wapuuzi sana.

Kuna siku nilikua kwenye foleni pale mataa ya mwenge na ki corolla changu.

Ghafla nyuma naskia king'ora sasa nahangaika kutafuta kiupenyo niwapishe wakaanza kuigonga gari makusudi kwa nyuma.

Asee nilimaind sana ni vile wao wameshika mpini nikaamua kukausha tu ikabidi nikapulize rangi kwenye bampa la nyuma
 
Eleza kidogo sababu za Trump kuipiga Venezuela ili tujue kama inaonewa
Mwanasheria Mkuu wa Marekani Pam Bondi:

Mashtaka yamewasilishwa dhidi ya Nicholas Maduro na mkewe, Cilia Flores, katika Mahakama ya Wilaya ya Kusini mwa New York. Nicholas Maduro anashtakiwa kwa kula njama ya kushiriki katika shughuli za ugaidi wa dawa za kulevya, kula njama ya kuingiza kokeini, kumiliki bunduki za rashasha na vifaa vya uharibifu, na kula njama ya kumiliki bunduki za rashasha na vifaa vya uharibifu dhidi ya Marekani. Hivi karibuni watakabiliwa na ghadhabu kamili ya haki ya Marekani katika ardhi ya Marekani katika mahakama za Marekani.
 
Back
Top Bottom