Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela yashambuliwa na Marekani

Venezuela kwa ukubwa wake,Rais wao anachukuliwa kama kuku.alafu huku kuna mtu anawaita who are you?😀anajiamini ana nini huyu?
US hawezi kukanyaga Bongo land sababu kashaona yaliyotokea Oct29. Watu walivyofumuliwa Ubongo. Unafikiri haogopi jeshi lake kufumuliwa kama vile. Akisogeza pua atawakuta wanajeshi wake Mwananyamala wamelazwa kwa mafungu.
 
Hao jamaa ni wapuuzi sana.

Kuna siku nilikua kwenye foleni pale mataa ya mwenge na ki corolla changu.

Ghafla nyuma naskia king'ora sasa nahangaika kutafuta kiupenyo niwapishe wakaanza kuigonga gari makusudi kwa nyuma.

Asee nilimaind sana ni vile wao wameshika mpini nikaamua kukausha tu ikabidi nikapulize rangi kwenye bampa la nyuma
Duh! Kule mbezi ya chini wana marungu ukichelewa kupisga wanabonda gari lako na rungu. So unprofessional.
 
Ha ha ha jamaa fastee kajiwahi.
Kwa ufupi
Nimeona Russia wanasema kuwa Marekani akiweka watu wake pale Venezuela maana yake atakuwa anamiliki 50% ya mafuta yote duniani
 
Kwa ufupi
Nimeona Russia wanasema kuwa Marekani akiweka watu wake pale Venezuela maana yake atakuwa anamiliki 50% ya mafuta yote duniani
Trump kasema wanaweka watubwao na makampuni yao ya mafuta yanarudi.
 
Venezuela wazembe maana naona Marekani kapitisha ndege ndani ya Venezuela.
Kweli nimeamini CIA wakiruhusiwa wanafanya kweli
Walichofanya wameingia wakazima mitambo ya ulinzi wa anga, USA akapitisha ndege ya kivita inavyoonekana eneo la kijeshi, ndipo jeshi la Maduro likafanya fujo, USA wakiwa wamesepa na Rais wao.
 
Russia anapata Moyo wa kuendelea kuishikilia Ukraine.Zele ajiandae soon atakuwa mikononi mwa Putin. Kwanza Zele bila mkono wa EU na NATO angekuwa mikononi Putin muda mrefu tu.
Huyo ni billionaire wa mafuta kutoka Russia


Anasema Marekani kuchukua Venezuela ambae ndio anaongoza reserve ya mafuta duniani unaweza kusababisha bei ya pipa la mafuta ikashuka kama Marekani akianza production ya mafuta Venezuela.


Bei ya mafuta ikishuka na mafuta yakiwa mengi Russia atateseka kwasababu anategemea mafuta kuendesha nchi yake.

So Marekani anaweza kutumia mafuta ya Venezuela anaweza kuyatumia kama silaha
 

Attachments

  • -5ms3x4.jpg
    -5ms3x4.jpg
    273.8 KB · Views: 7
Kwa ufupi
Nimeona Russia wanasema kuwa Marekani akiweka watu wake pale Venezuela maana yake atakuwa anamiliki 50% ya mafuta yote duniani
Hii hapa mkuu bilionea wa mafuta Russia ameshaanza kutetemeka.

Sema wazungu wana akili sana sijui sisi watu weusi tunaweza.

Imagine America njia Ambayo kaiona ni kwenda Venezuela kuchukua 50% ya mafuta ya Dunia Ili awe ni majority global oil supply Ili apange bei. Bei hizo zinaweza kumdhuru Russia ambae anategemea mafuta kwenye uchumi wake.


Russia anatafutwa.
 

Attachments

  • -5ms3x4.jpg
    -5ms3x4.jpg
    273.8 KB · Views: 11
Hii hapa mkuu bilionea wa mafuta Russia ameshaanza kutetemeka.

Sema wazungu wana akili sana sijui sisi watu weusi tunaweza.

Imagine America njia Ambayo kaiona ni kwenda Venezuela kuchukua 50% ya mafuta ya Dunia Ili awe ni majority global oil supply Ili apange bei. Bei hizo zinaweza kumdhuru Russia ambae anategemea mafuta kwenye uchumi wake.


Russia anatafutwa.
Yaani Marekani kapiga hesabu kali, afu anaitaka Greenland ili amiliki Arctic, kisha anachukua eneo pale Somaliland Mchina hana pa kutokea
 
Duh! Kule mbezi ya chini wana marungu ukichelewa kupisga wanabonda gari lako na rungu. So unprofessional.
Inasikitisha sana, yaani mpaka unashangaa, hawa ni watu wa vyombo au ni wahuni tu wameokotwa huko barabarani.
 
Back
Top Bottom