Joe Milla
JF-Expert Member
- Jul 28, 2014
- 972
- 1,638
US hawezi kukanyaga Bongo land sababu kashaona yaliyotokea Oct29. Watu walivyofumuliwa Ubongo. Unafikiri haogopi jeshi lake kufumuliwa kama vile. Akisogeza pua atawakuta wanajeshi wake Mwananyamala wamelazwa kwa mafungu.Venezuela kwa ukubwa wake,Rais wao anachukuliwa kama kuku.alafu huku kuna mtu anawaita who are you?😀anajiamini ana nini huyu?