HTML:
[B] [IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png[/IMG] Re: usafiri wa mwanamke.......kipimo cha uzuri wake? [/B]
we ruta, acha kutumia PHP code, maandishi ni madogo na haionyeshi umemnukuu nani. hebu rudi katika quote ya kawaida iliyozoeleka. ni ushauri tu
asante kwa kunielewa
loud and clear.....................................lakini mchango wako wa uzoefu wako ukoje?????????
inashangaza kidogo kuona kuwa unataka michango ya maoni yetu lakini hujali kama unatuumiza macho yetu ya thamani na PHP code zako! please change!
mchango wangu nimeishakupa naona unachagua kuelewa baadhi ya mistari na mingine unachagua kutoielewa. usipoangalia utakuwa na thread yenye kurasa chungu mzima lakini isiyo na jibu! ni heri ukawa tayari hata kuona thread yako ikiishia na kurasa moja lakini yenye jibu la kweli, sahihi na muafaka.
kurudia kidogo ni kuwa umekosea kwenye ku-conceive swali lako. miguu huweza kuvutia baadhi ya wanaume lakini haitoi taswira ya picha au ufanisi wa kilicho nguoni mwa mtu. mwili wa mwanadamu una viungo vingi sana, viko nje na ndani ya mwili. vipo vyenye kutofautisha jinsia na vile vya jisia zote, vipo vinavyovutia kuvitazama na vipo vyenye kuudhi kuvitazama, vipo vyenye kukubalika kukaa hadharani na vinavyopaswa kusitirika sirini nk nk. viungo hivi pia vinaweza kupangiliwa hierarchically by location, function, attraction nk.
kiungo unachochukulia hapa kuwa cha nguoni ni moja ya kiungo vya ndani na si cha nje. watu wengi wamekuwa wadhani kuwa uke uko nje ya mwili, lakini si sawa, uke ni kiungo cha ndani japo hisia za wengi ni kuwa kinena ndio uke wenyewe. kwa kuwa utamu unaosemw hapa unahusu uke, basi utamu huo unapatikana ndani na sio nje na kamwe hauwezi kukadiriwa kwa kutumia muonekano wa maumbile ya nje ambayo ni chakula na fahari ya macho tu. wengi wamekujibu vizuri sana juu ya kuwa utamu ni suala la hisia za mhusika zaidi na hakuna uhusiano wowote na mumbile ya miguu. nami nakubaliana nao.
hakuna nadharia yoyote ya sayansi ya maumbile (baiolojia), au ya jamii kwa maana ya saikolojia na soshoiolojia iliyowahi kupata uhusiano wa kiwango chochote wenye kutumainiwa wa viungo vya miili ya wanadamu. kama uko katikautafiti wa nadharia mpya, unaweza kuendelea na tutashukuru kama utatushirikisha majibu ya utafiti wako ukishayapata. ika kama na kwa mujibu wa maarifa yaliyopo tayari, basi hakuna uwezekana kama huo unaoudodosa.
utaangalia miguu sana lakini hutaweza kujua hayo ya nguoni hadi uyaonje mwenyewe kwa viungo vyako, kwa kweli hata ukisimuliwa na aliyekwishaonja hutaweza kuelewa kwa hakika yakoje hadi utakapoonja mwenyewe. surprisingly enough, ukishayaonja, utagundua hayatofautiani na ya wengine uliyokwishaonja kabla licha ya wao kuwa na tofauti kubwa ya maumbile ya miguu!!
inasemekana kuwa mke mwema ni tabia. kama ingekuwa ni mwili, wake wema wangekuwa wengi sana na uchaguzi wa mchumba ungekuwa rahisi zaidi kuliko ilivyo hivi sasa. likewise, mwanamke mtamu sio mwenye umbile la mwili la kuvutia, ingekuwa mwili ndio utamu, wanaume wenye wake walio na maumbile mazuri ya mwili (ikiwemo miguu mzuri) wasingehangaika nje ya ndoa zao tena na wale wamnaoonekana kuwa chini ya wake zao kimvuto!