Gosbertgoodluck
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 2,855
- 405
- Thread starter
- #21
mimi ni mwanamke lakini ukweli,kuna urembo mwingine ni uchafu na mateso.....mtu unaweka wigi wiki nzima husafishi hadi linanuka.mba na magonjwa ya ngozi hayakuishi,kila siku we kuweka mafuta na kupulizia spray,wazungu wenzao wana osha daily or three times a week
na wengine mikucha wanaweka migundi kucha zinaharibika kabisa na wakati mwingine zinamnyima kufanya baaadhi ya shughuli,unafuga kucha ndefu mara nyingine mi-bakteria tu ......tuwe na kiasi, si issue ya hela,healthwise na comfortability iwepo pia.....
mimi napenda mtu awe natural.......kujiremba kuwe minimal sana.....usiwe kama unamkosoa Mungu kwa kutaka kuongeza kila kitu hadi unaonekana hujiamini au unalazimisha jambo!!! :hand::hand:
Dada Michelle unatumia soda gani??