Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Mimi ni mweusi kuliko mkaa, ila weupe usio wa mkorogo unapendeza sana. Kila mtu ana mapenzi yake. Wote tunameremeta mweeee!
 
Mungu akasema tizama mtu huyu hajafurahia yote aliyopewa katika ulimwengu wote, basi na tumfanyie kitu kitakachomfurahisha....... akamlaza usingizi akachomoa ubavu wake mmoja kutoka mkono wake wa kushoto akafunika nyama yake na akamuumbia mwenza yaani mwanamke

KWA MUKTADHA HUO MWANAMKE NI AGENDA YA MWANAUME.
KWA MKTADHA HUO MWA

Mulama unasoma Biblia au umetoa katika Kitabu gani hakunasehemu iliyoandikwa tumfanyie kitu kitakachomfurahisha hapo unapotosha
soma Biblia Kitabu cha Mwanzo 2:18-25 kwa uelewa
"BWANA Mungu akasema,Si vema mtu huyu awe peke yake,nitamfanyia msaidizi wa kufanana naye"
Siyo kama ulivyosema kitu kitakachomfurahisha mwanamke ni mtu siyo kitu,na zaidi Mungu alituumba kwa kufanana kwahiyo siyo vyombo vya kuwafurahisha wanaume.
Back to the topic sina uhakika kama miguu ni kipimo cha uzuri,kwa mwanamke maana hata mimi nina miguu mizuri sana,kama nitaweza itabidi nifanye utafiti zaidi ya hapo kujua kama ina uhusiano na uzuri unaojadiliwa.
 
Hakuna ukweli.

Ukweli upo, Usafiri ni kitu muhimu sana katika chakula cha usiku, Maana ni kama catalyst ( speed up the rate of chemical reaction.but itself remain unchanged at the end).
Vilevile miguuni, hasa ktk vidole vya miguu yote. Kwa kawaida w/ke wenye mpasuko mkubwa kati ya Kidole kikubwa cha mguuni(Dole gumba) na chingine yake huwa na Kina kirefu ukitofautisha na W/ke ambao hawana. Hili nimeshalithibitisha.


Zipo siri nyingi za mikononi na hata ktk mwendo wa m/ke unaweza uka mclassify yupo katika class gani

Kitu kibaya ni kuwa vijana wa siku hizi hatutaki kukaa na mabibi na mababu zetu na kupta maono yao juu ya mstakabali mzima wa maisha. Naomba tuwe na tabia ya kuona japo kwa mwaka mara moja na tukae na kina tujadili mambo ya maisha. Najua wengi hamlikubali hili, ila ukwel ndio huo. Mm kila la mwaka lazima nikamuone babu na bibi yangu na ndio wanaonipa maono haya ya namna gani ya kuishi na watu, kuchagua mke, nk. Mara nyingi Baba au mama hawezi akakuambia vitu kama hv ( Mke/Mme mzuri na namna gani ya kumchagua ) kwa desturi zetu za kiafrika.

NApenda kuwasilisha....!
 
Kila mtu na mtazamo wake......................, hata kwenye nguo mwingine anavutiwa sana na nguo za bluu (utakuta kila nguo akinunua anajikuta kanunua bluu)...............
 
Acheni mandugu hizo, kwetu tunaita CHAPA NG'OMBE au CHEUPE DAWA...huo weusi beauty sijui nini acheni utani jamani, tena kina dada ndo acheni kusema, mwanaume akiwa mweusi anataabika sana lkn wale whites mhhhh ndo wanitwa ma hansome...
 
Nasikia kwamba Wanyakyusa wanapenda sana ngozi nyeupe, alafu wachaga weng ni weupe, et hii ndiyo sababu ya wanyak weng kuoa wachaga?
 
Kwani mtu awe vipi ili awe mweupe na akiwa vipi ataonekana ni mweusi?
Kuna rangi za hapo kati ndiyo zinazopagawisha zaidi. Au hawa wanaoitwa wana rangi ya maji kunde wanaingia ktk kundi gani?
Kiukweli, hata ktk watalii, wanaopendeza zaidi kwa rangi zao machoni mwa watu ni Wabrazil, sasa sijuwi wao wana rangi gani vile?
 
Mawazo kama hay ndo yanashawishi wadada wa watu kujichubua mpaka wanaambulia cancer!!
 
weupe ni noma bwana hasa ukute na mtoto kajaaaliwa duh maashara huwa nakosa usingizi
 
Beauty lies in de eyes of de beholder.......Rangi kitu gani?
 
kwa kawaida binadamu wote ha2ko sawa...kuna baadhi ya wanaume wanampenda msichana mwenye sura nzuri,wengine mwenye umbo zuri,wengine mwenye macho mazuri,jinsi anavyotembea,kuongea na wengine wanaangalia tabia nzuri...sasa swali ni kwamba utaweza kumpata msichana mwenye sifa zote hizi...?
 
kwa kawaida binadamu wote ha2ko sawa...kuna baadhi ya wanaume wanampenda msichana mwenye sura nzuri,wengine mwenye umbo zuri,wengine mwenye macho mazuri,jinsi anavyotembea,kuongea na wengine wanaangalia tabia nzuri...sasa swali ni kwamba utaweza kumpata msichana mwenye sifa zote hizi...?
Wapo tena wengi tu,...tena pamoja na hizo sifa ulizotaja ongeza hizi_elimu nzuri,sauti n.k wanapatikana zaidi dunian hasa kwa kina iwe........
 
Back
Top Bottom