hivi nyie mnamatatizo gani??
tumechoka na hizi mada za wanawake!!! nyie mkiaanzishiwa mada hapa mwaruka ka Tai!!!
hivi nyie mnamatatizo gani??
hivi nyie mnamatatizo gani??
tumechoka na hizi mada za wanawake!!! nyie mkiaanzishiwa mada hapa mwaruka ka Tai!!!
Hahahahaha! Tuko juu! Wanatufikiria 24/7, shauri yao.Hawana lingine la kufikiria na kuandika zaidi ya kile kilichoko kichwani mwao kwa wingi ambacho ni wanawake....
Hahahahaha! Tuko juu! Wanatufikiria 24/7, shauri yao.
Yapo maono ambayo sijui kama yamethibitishwa au ni ya kihisia tu ya kuwa na yanayodai kuwa "usafiri" kwa maana miguu ya mwanamke inakupa picha ya "uzuri wake" kiundani au sijui niseme kinguoni zaidi.ninajaribu kutumia maneno ambayo hayakwaruzi............lakini ninaamini nimeeleweka...........................
Swali langu huu utafiti wa "usafiri" kuthibitisha "uzuri" wa mwanamke umefanyika lini au kwa namna gani na je kuna ukweli kwenye hilo?
kama mwanamke amekatika miguu je? so kama mwanamke ana matege au miguu mwembamba au mnene una reflect undani......? :smile-big:
we acha tu....em ngoja niangalie miguu yangu then niende room nijiangalie undani wangu kama naweza gundua kitu.....kazi kweli kweli....:A S 39:
PHP:hivi nyie mnamatatizo gani?? tumechoka na hizi mada za wanawake!!! nyie mkiaanzishiwa mada hapa mwaruka ka Tai!!!
Oh Suzie bila ya wanawake hakuna mahusiano...........................tungependa nasi mtueleze mnavyotuona...........................na huko ndiko kujifunza................................tusivyofanya hivyo jukwaa hili litasinzia kwa sababu tutakuwa tunafichana ukweli........................
Michele umeona dada ee!!
hahahahahaha! Inabd nikuige! Raha tupu hapa Jf. Umenchekesha sana Michelle!
best hatukatai lakini humu mmezidi!!
kuna mada nyingine kule kuhusu mweupe na mweusi mzuri nani, mara wa chuo na wadarasa la 7 nimuoe nani? matokeo yake mtasema kiuno chembaba na kinene kizuri kipi!!
aaaaaaaaaaaaahhh tumechoka jamani!!
best hatukatai lakini humu mmezidi!!
kuna mada nyingine kule kuhusu mweupe na mweusi mzuri nani, mara wa chuo na wadarasa la 7 nimuoe nani? matokeo yake mtasema kiuno chembaba na kinene kizuri kipi!!
aaaaaaaaaaaaahhh tumechoka jamani!!
Susy hawa ndo mana wanauziwaga mbuzi kwenye gunia, na tunawapatia haswa, ukiona wanashobokea hips, nenda kwa mchina, mshahara wote mwisho wa mwezi anakukabidh, miguu kwa mchina pia ipo, weupe ndo usiseme! Wamesahau UZURI wa mwanamke sio hips, miguu, weupe, weusi n.k. Kazi wanayo.
Thanx mpendwa. Furahia pia ndugu yangu!umesema ukweli sana waambie 'what you see is not always what you get"...furahia weekend yako!
Hakuna ukweli.
Susy hawa ndo mana wanauziwaga mbuzi kwenye gunia, na tunawapatia haswa, ukiona wanashobokea hips, nenda kwa mchina, mshahara wote mwisho wa mwezi anakukabidh, miguu kwa mchina pia ipo, weupe ndo usiseme! Wamesahau UZURI wa mwanamke sio hips, miguu, weupe, weusi n.k. Kazi wanayo.