Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,246
- 88,167
Lol.. inategemea na nywele Na hizo powder mtu anajikandikaje. Kwa mfano mtu nywele yake haiosheki unategemea nini kwenye harufu? Na powder nashangaa sana mnavyoziponda wakati ziko enzi na enzi sema wamasai ndo walikua wanazipaka sana.
Sema nini wanawake wapo kila sampuli. Ukimtaka wa mawig vumilia maana sio kwamba hukuona wenye nywele natural
Sema nini wanawake wapo kila sampuli. Ukimtaka wa mawig vumilia maana sio kwamba hukuona wenye nywele natural
Tatizo kama mtu amevaa madude yake kichwani ukammwagia maji bahati mbaya kwenye yale madude yake, uhusiano unakufa siku hiyo hiyo. Na akijipaka maudongo yake, ukimwambia tuogelee hatakubali. Utaogelea peke yako.
Mbaya zaidi anakuwa na harufu kama ya kwenye duka la Dawa baridi.