Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Lol.. inategemea na nywele Na hizo powder mtu anajikandikaje. Kwa mfano mtu nywele yake haiosheki unategemea nini kwenye harufu? Na powder nashangaa sana mnavyoziponda wakati ziko enzi na enzi sema wamasai ndo walikua wanazipaka sana.
Sema nini wanawake wapo kila sampuli. Ukimtaka wa mawig vumilia maana sio kwamba hukuona wenye nywele natural
Tatizo kama mtu amevaa madude yake kichwani ukammwagia maji bahati mbaya kwenye yale madude yake, uhusiano unakufa siku hiyo hiyo. Na akijipaka maudongo yake, ukimwambia tuogelee hatakubali. Utaogelea peke yako.

Mbaya zaidi anakuwa na harufu kama ya kwenye duka la Dawa baridi.
 
Niliwahi kukosana na mpnz wangu kwa kuwa kila kitu mwilini mwake ilikuwa feki.nywele feki,kucha feki,mdomo feki, tako feki,masikio feki .Toka hapo cna hamu na akina dada wanaojiremba ,mwanamke natural
 
Mtoa mada naomba nikuambie tuu kujiremba kwetu sio tunataka wakaka wavutiwe nasi bali ni mwenywe kuwa huru na mwili wako, kama kuna sehemu ya mwili huipendi unaifanyia marekebisho kama pesa ipo..
kumbuka kila mtu anapenda awe na id yake lol

HAKUNA MWANAMKE ANAE JIREMBA ILI APENDE YY BINAFSI NA NDIO MAANA PAMOJA NA HAYO MATAKATAKA KUJIWEKA UKIMWAMBIA HUJAPENDEZA ANATOKA MBIO KWENDA KUTOA
 
Mimi napenda NATURAL. Hata upande wa kitoweo cha kuku, huwa napenda wa kienyeji. Labda ndiyo maana nguvu zangu haziwajawahi kutetereka. Nikiona mawigi na makucha ya ajabu ajabu huwa vinani-put-off completely.
hahahahahahaah
 
Ndugu zangu, wapenzi wa jukwaa hili,

Leo naleta hoja nzito kidogo. Najua baadhi ya akina dada watakwazika. Kwa hiyo, naomba mnisamehe.

Siku hizi limezuka wimbi la akina dada na hata akina mama kujilemba kwa namna mbalimbali kuanzia rangi ya mwili, nywele, kucha, midomo na wengine wamefikia hatua ya kunywa au kupaka dawa za kichina za kuongeza makalio na maziwa. Wengine wanasuka nywele ndefu na wanaongea kwa mbwembwe huku wanatikisa vichwa vyao na kushikashika nywele kama wafanyavyo wanawake wa kizungu. Wengine wamefikia hatua ya kubadili hata sauti na namna ya kuongea!!

Najua dada zetu wanafanya hivyo kwa lengo la kupendeza na wengine lengo lao ni kuwavutia wanaume. Lakini mimi binafsi sijui ni nini kimenitokea! Inawezekana ndiyo abnomality hiyo. Kadri mwanamke anavyojilemba zaidi ndivyo hamu ya kufanya nae mapenzi inavyopungua.

Ukweli ni kwamba nikilala na mwanamke ambaye ni natural yaani mwenye nywele za kawaida anayesuka mtindo wa 'twende kilioni' au amezibana tu, wowowo, chuchu na sauti natural huwa napata nguvu nyingi za kupanda mlima ikilinganishwa na ninapolala na mwanamke mwenye kucha za bandia, nywele za bandia, na midomo iliyopakwa rangi nyingi.

Sijui ni ugonjwa au ni jambo ambalo hata wanaume wenzangu huwa linawakumba?

Tafadhali karibuni kwa mawazo.
Hapa chenga tu, hakuna aliejibu uzuri wa mwanamke uko wapi?, kuna uzuri wa rangi eg mweusi, mweupe na awe natural au sio? Unene au mwembamba,, mwenye mguu mzuri hata akivaa nvuo fupi ni yechu yechu au awe na miguu membamba kama yako anakesha kuvaa suruali na sketi au gauni ndefu. Sura nzuri au ni kiasi jiasi ww ni handsome ujiwa nae unampita uzuri wa sura? Yote tisa mm naweza sema kwanza nakuwa sexualy attracted na rangi nzuri lapda mohpe fulani au black beautiy fulani, mwenye miguu mizuri walau anaweza vaa nguo fupi, mwenye akili yani matured suo sista duu.awe na roho nzuri na humble asinione yeye ndo kila kitu. mwenye tabia njema huo ni mfano sasa mm sioni jibu mmejibu nn licha ya saundi. Uzuri upo wapi?
 
Ndugu zangu, wapenzi wa jukwaa hili,

Leo naleta hoja nzito kidogo. Najua baadhi ya akina dada watakwazika. Kwa hiyo, naomba mnisamehe.

Siku hizi limezuka wimbi la akina dada na hata akina mama kujilemba kwa namna mbalimbali kuanzia rangi ya mwili, nywele, kucha, midomo na wengine wamefikia hatua ya kunywa au kupaka dawa za kichina za kuongeza makalio na maziwa. Wengine wanasuka nywele ndefu na wanaongea kwa mbwembwe huku wanatikisa vichwa vyao na kushikashika nywele kama wafanyavyo wanawake wa kizungu. Wengine wamefikia hatua ya kubadili hata sauti na namna ya kuongea!!

Najua dada zetu wanafanya hivyo kwa lengo la kupendeza na wengine lengo lao ni kuwavutia wanaume. Lakini mimi binafsi sijui ni nini kimenitokea! Inawezekana ndiyo abnomality hiyo. Kadri mwanamke anavyojilemba zaidi ndivyo hamu ya kufanya nae mapenzi inavyopungua.

Ukweli ni kwamba nikilala na mwanamke ambaye ni natural yaani mwenye nywele za kawaida anayesuka mtindo wa 'twende kilioni' au amezibana tu, wowowo, chuchu na sauti natural huwa napata nguvu nyingi za kupanda mlima ikilinganishwa na ninapolala na mwanamke mwenye kucha za bandia, nywele za bandia, na midomo iliyopakwa rangi nyingi.

Sijui ni ugonjwa au ni jambo ambalo hata wanaume wenzangu huwa linawakumba?

Tafadhali karibuni kwa mawazo.
Uzuri wa mwanamke anayeujua ni mwanaume pekee na upo kuchwani mwake.
 
Back
Top Bottom