kwa kawaida binadamu wote ha2ko sawa...kuna baadhi ya wanaume wanampenda msichana mwenye sura nzuri,wengine mwenye umbo zuri,wengine mwenye macho mazuri,jinsi anavyotembea,kuongea na wengine wanaangalia tabia nzuri...sasa swali ni kwamba utaweza kumpata msichana mwenye sifa zote hizi...?
unajua Dume la Nyani ngoja nikwambie,
huwezi ukapata jibu la moja kwa moja hapa,
kuwa mwanamke mzuri ana sifa hizi,
kwani uzuri wa mwanamke kila mtu anaudefine tofauti/kivyake,
hata hivyo, kwangu mimi nadhani uzuri wa mwanamke inategemea,
na wakati, nia na mahali muafaka,
hapa ninamaanisha kuwa inategemea kuwa huyo mwanamke,
unamuhitaji kwa mahusiano gani, kwa kipindi cha muda gani na kwa lengo lipi,
ukiweza kutoa kusudi la hayo mahitaji basi uzuri wa mwanamke unaweza,
ukau define accordingly!!!!!!!!!!!