Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

Uzuri wa mwanamke upo wapi? Ni upi?

PHP:
KakaJ ntake radhi la sivyo naandamana kwa miguu from Ar to huko uliko, nkifika ndo utajua kama miguu yangu ni mibovu au la!

Ikifikia huko itabidi nikubebe ili usichoke............................hadi umfikie..............................
Sitaki kubebwa, nataka KakaJ ajue nna mahasira ya kuua mtu na pia aprove kuwa sina miguu mibovu.
 
butt-legs.jpg
.
 
PHP:
Sitaki kubebwa, nataka KakaJ ajue nna mahasira ya kuua mtu na pia aprove kuwa sina miguu mibovu.

Siwezi kukuruhusu ukaniachia "mada kesi" halafu tukakukosa humu jamvini..........ngoja niharakishe kwenda kununua mbeleko za nguvu nikubebe bila kukudondosha....................
 
The finest usitunyime tafsiri yako kwenye hizi picha ulizozitundika............................zinatoa ujumbe gani?

PHP:
[B][IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png[/IMG] Re: usafiri wa mwanamke.......kipimo cha uzuri wake?         [/B][PHP]

                                                                                                                                                                  [IMG]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=28762&d=1304166425&thumb=1[/IMG][INDENT] .                 [/INDENT]
 
PHP:
Sitaki kubebwa, nataka KakaJ ajue nna mahasira ya kuua mtu na pia aprove kuwa sina miguu mibovu.

Siwezi kukuruhusu ukaniachia "mada kesi" halafu tukakukosa humu jamvini..........ngoja niharakishe kwenda kununua mbeleko za nguvu nikubebe bila kukudondosha....................
Hahahahaha! Kumbe unanipenda hivyo??? Siandamani tena mwaya!
 
The finest usitunyime tafsiri yako kwenye hizi picha ulizozitundika............................zinatoa ujumbe gani?

PHP:
[B][IMG]https://www.jamiiforums.com/images/icons/icon1.png[/IMG] Re: usafiri wa mwanamke.......kipimo cha uzuri wake?         [/B][PHP]

                                                                                                                                                                  [IMG]https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=28762&d=1304166425&thumb=1[/IMG][INDENT] .                 [/INDENT][/QUOTE]
 Hahahaha Ruta I reserve my comments
 
PHP:
Hahahahaha! Kumbe unanipenda hivyo??? Siandamani tena mwaya!

lazima uandamane tu maana sasa hizi mbeleko nimezinunua kwa bei mbaya zitafanya kazi ipi????????????
 
hahahaha. Natafuta traki suti na raba naanza maandamano! ....l o.l
PHP:
Hahahahaha! Kumbe unanipenda hivyo??? Siandamani tena mwaya!

lazima uandamane tu maana sasa hizi mbeleko nimezinunua kwa bei mbaya zitafanya kazi ipi????????????
 
Daah! umenikumbusha mbali kabla sijaoa nimewahi kuambiwa na dada mmoja wa Tanga kuwa miguu ukiwaje mwanamke huyo ukimuoa ni kikosi tu.
ngoja nimuulize kwa simu i 'll come back
 
I'm back Kaniambia inaitwa mlango wa nane na ni mwanamke mwembamba alafu mfupi ukiwa nae anamikosi.
sijui ndio hicho unachoongelea au is a new thing.
Najua nitashambuliwa na warembo wa JF. karibuni
 
PHP:
Hahahaha Ruta I reserve my comments

No comment is good comment too..............................
 
PHP:
I'm back Kaniambia inaitwa mlango wa nane na ni mwanamke mwembamba alafu mfupi ukiwa nae anamikosi.
sijui ndio hicho unachoongelea au is a new thing.
Najua nitashambuliwa na warembo wa JF. karibuni

Superstitious......................na hiyo hatuwezi kuifanyia utafiti wa dhati na kuthibitika......................
 
PHP:
hahahaha. Natafuta traki suti na raba naanza maandamano! ....l o.l

I am on my way tukutanie wapi tuanze huu msafara.....................................
 
Niemwasiliana na mtaalamu wa haya masuala kanipa tafsiri yake ya huu usafiri na amedai ya kuwa....................

attachment.php


ngoja niywe chai kwanza halafu nimwage radhi humu jamvini.....................
 
PHP:
hahahaha. Natafuta traki suti na raba naanza maandamano! ....l o.l

I am on my way tukutanie wapi tuanze huu msafara.....................................
Niko maeneo ya USA mwenzio, nna hasira?? Afu hata cjui naelekea wapi manake cjui KakaJ anapatikana pande zipi. Unajua alipo Ruta???
 
PHP:
Niko maeneo ya USA mwenzio, nna hasira?? Afu hata cjui naelekea wapi  manake cjui KakaJ anapatikana pande zipi. Unajua alipo Ruta???

Tumwendee kisayansi....ngoja nimtumie PM nijue anapatika maeneo yepi, vile..................
 
Niko maeneo ya USA mwenzio, nna hasira?? Afu hata cjui naelekea wapi manake cjui KakaJ anapatikana pande zipi. Unajua alipo Ruta???

Tupo pamoja nami nilikua kwenye ile shortlist ya malecela ya kuanzisha tawi jipya USA. Nimekuja kwenye interview.
 
KakaJ ntake radhi la sivyo naandamana kwa miguu from Ar to huko uliko, nkifika ndo utajua kama miguu yangu ni mibovu au la!


Sweetlady umesema uko Arusha?? = Moshi=Kilimanjaro= Wach*g*.

Najaribu kuconnect hizo star.
 
Back
Top Bottom