mathsjery
JF-Expert Member
- Sep 26, 2015
- 2,208
- 1,755
Msosi wangu pendwa
Msosi wangu pendwa
Tulishaongea hapa hiki si chakula muache upumbavu 👿Msafiri kafiri nimekula sana hizi makitu, hapa kwetu sijabahatika kukutana nayoView attachment 1769407View attachment 1769406View attachment 1769405
Chemsha maji yatokote,then toss macaroni or spaghetti, ziungurushe 3 times tu dk 15 zishsaiva, toa mwagia maji baridi kiasi chuja then mafuta na chumvi changanya.
Hapana chezea hii kitu.Chakula cha taifa
View attachment 1758573
Naona kipande cha pingi hapo mkuu! 🤣 🤣 🤣
Duh, hivi watokea Wuhan mkuu? 😂 😂 😂
Kuna kipindi tulikua route ya camp wildlife hunting tokea Selous mpaka Botswana ni pori kwa pori tu.Hatutanunua mkuu maana huku ni camp kama sobibor. Ukileta mambo ya raha watu hawataki.
Duh, hivi watokea Wuhan mkuu? 😂 😂 😂
Ulanzi uo Iringa uko ndo upoKwa faida ya tusiofahamu hiki kinywaji. Ni kinywaji gani mkuu? Nilivyoona haraka haraka nilijua maji ya povu kabla sijasoma ulichoandika
Leo pumzika usiandae futari, nakuleteaKawali kafutari View attachment 1777532View attachment 1777534
Saa za kufuturu hazijafika!Kawali kafutari View attachment 1777532View attachment 1777534
Hii mechi yafaa barobaro ka mimi na timu yangu! 🤣 🤣 🤣
Ndio ile inavunywa toka kwenye bamboo tree sio?Ulanzi uo Iringa uko ndo upo