Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728


Kitafunio cha kifungua kinywa asubuhi hii kwa chai ya TangawiziView attachment 1409992View attachment 1409993


Location wapi?Food mongaKitafunio cha kifungua kinywa asubuhi hii kwa chai ya TangawiziView attachment 1409992View attachment 1409993
Watu wembamba mnakula sana utakuja kunimalizia kitafunwa changu bure!Location wapi?



Hizi ni nini?View attachment 1408216
Hii Combi hii ndio imenilea hii, heshima kwake tafadhali
ᴮᵉʷᵃʳᵉ ᵒᶠ ᵗʰᵉ ᶜᵒᵛⁱᵈ ⁻ ¹⁹![]()
Umeeandaaje hiyo mboga miss?
Hizo bamia zinaiva kidogo tu kwa hiyo supusupu ya nyama, usipimeView attachment 1410201
Sent using Jamii Forums mobile app

Umeeandaaje hiyo mboga miss?
Hii mixer hainogi kabisa, wali mweupe ingekua mwake sana



